Magwanda ya jeshi yamponza Diamond, Sasa ni jela miaka 15

ha ha ha naona gazeti jingine tena! Eti una shule,,my foot! Mwenye shule anakuwa kama wewe?
Umesema huna chuki nae ila ukweli mnasema,,,ss ndo uniambie ukweli gani dhidi yake?

Shule ninayo nzuri sana tu na sina mda wa ku argue na fool pole kwa kukimbia umande maneno yenu ya kujifariji huwa mnaonewa wivu na chuki ukweli utaujua tu one day its a matter of time
 
Shule ninayo nzuri sana tu na sina mda wa ku argue na fool pole kwa kukimbia umande maneno yenu ya kujifariji huwa mnaonewa wivu na chuki ukweli utaujua tu one day its a matter of time
Huna jipya wewe hujatoa sababu wala nini nimekuuliza si chini ya mara tatu,,,sasa mm na ww nani fool? Kuna mambo mengi ya kujadili hata katiba we na shule yako kila page Diamond. Laumu wazaz wako kuzaliwa Maskini ila usilaumu kwann uko Maskini!
by the way, ukiona wanakujadili ujue wana kukubali afu cha ajabu kazi kumponda huku nyimbo zake unasikiliza ila mafanikio yake ndio ya nakukwaza ha ha ha ha Umaskini bana!!
Kikubwa tu acheni chuki km tabia za hashuo ni zake we hazikupunguzii chochote we mwenyewe una mapungufu yako kibao usikute unaiba mume wa mtu huku unajiita diva bitch ha ha ha ...

m out of this Bullshit! Relax bitch
 

Ha ha ha unaniuliza kama nani we empty set and mind umeshindwa wewwe kujadili hayo mambo ya katiba hadi ufatilie ninavo comment keng.. Madoa wewe eti ukiona wanakujadili wanakubali ndo uwezo wako ulipofika eeh endeleeni kujipa moyo kwanza sisikilizagi huo upuuzi wa kiswazi nasikilizaga gospel mkizomewa mwaja na mihemuko ya kila kona maskini wewwe ulishindwa kwenda shule sasa ana mafanikio ujinga tu kuwa na gari na kubadilisha papuchi wengine tangia tumezaliwa vipo na sioni cha ajabu ka wewe mshamba unaona fahari dangote na Bakharesa wasimeje ndio ni Diva kinakuwashia nini nitolee mfuuiuuuu zako umeishiwa hoja wakimbilia matusi naona ulikuja na id nyingine ha ha mind ua own ----...business mxiewwww zako huko chini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…