Magwiji 5 bora kwa posts nyingi humu JF - tija (productivity) ya posts zao imekaaje?

Magwiji 5 bora kwa posts nyingi humu JF - tija (productivity) ya posts zao imekaaje?

Mimi mkuu nina 1.2 je sistahili kuwepo kwenye list?
 
Hua wanalipwaje?
Swali lako linaonyesha kuwa watu waliomo humu wengi wao bado kipato chao ni cha chini sana, bado wanahangaika na kupata mahitaji ya msingi kama chakula. Hivyo sifa kama hizi kwao sio motisha, wanataka pesa.
 
Swali lako linaonyesha kuwa watu waliomo humu wengi wao bado kipato chao ni cha chini sana, bado wanahangaika na kupata mahitaji ya msingi kama chakula. Hivyo sifa kama hizi kwao sio motisha, wanataka pesa.
Hahah!! nikweli mkuu
 
Mimi mkuu nina 1.2 je sistahili kuwepo kwenye list?
bado sana chief.

una tuposti 123 tu. hao magwiji wana posti 65,000 kwenda juu.

isitoshe, tija ya posti zako ni 0.81, ambayo ni tija dhaifu!

hata hivyo, kazana tu mkuu ipo siku utafika!
 
bado sana chief.

una tuposti 123 tu. hao magwiji wana posti 65,000 kwenda juu.

kazana ipo siku utafika mkuu!
Haha nikajua ni ratio tu yoyote btn comments na likes, kwahiyo muda wa kujiunga unahusika
 
Hadi saa 4.15 usiku wa leo tarehe 13 March 2018, wafuatao ndiyo members 5 bora wa humu JF kwa kigezo cha kuwa na posts nyingi.

Nichukue fursa hii kwa niaba yangu mimi binafsi kuwapongeza kwa kulipeperusha vyema jukwaa letu tukufu.

Hapa chini kuna mchanganuo uliolenga kupima tija (productivity) ya michango kutoka kwa magwiji wetu hawa 5.

((Tija ni uwiano kati ya IDADI ya posts zao vs LIKES walizopokea kutoka kwa wadau)).

Mwenye tarakimu iliyo chini ya 1.0 ndiye ambaye tija ya posts zake ni hafifu, pamoja na kuwa miongoni wa magwiji kwa wingi wa posts.

Numbisa = 4.3

Rutashubanyuma = 2.7

BAK = 1.3

mshana jr = 1.1

Nyani Ngabu = 0.4

Again....hongereni wakuu wangu.

PS:
Penye kuhitajika tija pafanyiwe kazi. Huu ushauri utamfaa zaidi ndugu yetu Nyani Ngabu ambaye ana posts nyingi lakini tija ni dhaifu sana!
Sema hapo Mshana anakuwaga na post za kitoto toto. not analytical for GT.... hao wengine respect for them
 
Hadi saa 4.15 usiku wa leo tarehe 13 March 2018, wafuatao ndiyo members 5 bora wa humu JF kwa kigezo cha kuwa na posts nyingi.

Nichukue fursa hii kwa niaba yangu mimi binafsi kuwapongeza kwa kulipeperusha vyema jukwaa letu tukufu.

Hapa chini kuna mchanganuo uliolenga kupima tija (productivity) ya michango kutoka kwa magwiji wetu hawa 5.

((Tija ni uwiano kati ya IDADI ya posts zao vs LIKES walizopokea kutoka kwa wadau)).

Mwenye tarakimu iliyo chini ya 1.0 ndiye ambaye tija ya posts zake ni hafifu, pamoja na kuwa miongoni wa magwiji kwa wingi wa posts.

Numbisa = 4.3

Rutashubanyuma = 2.7

BAK = 1.3

mshana jr = 1.1

Nyani Ngabu = 0.4

Again....hongereni wakuu wangu.

PS:
Penye kuhitajika tija pafanyiwe kazi. Huu ushauri utamfaa zaidi ndugu yetu Nyani Ngabu ambaye ana posts nyingi lakini tija ni dhaifu sana!
Komredi Nyani Ngabu angekuwa anacomment chochote ili apate LIKE kwenye ule uzi maalum wa kugongena LIKE nadhani angekuwa mbali sana...
 
Back
Top Bottom