Magwiji mmu na multi-id's

Halafu, jinsi wanavyokuwa "wababe" humu, nilijua labda "magwiji" ni mijitu ya kutisha labda kama kina undertaker hivi....kumbe mmoja nimemuona kwenye ile picha ya British Council amevaa form six nyeupe yuko madawati ya mbele......dah!



teh teh teh
 

Nimependa sana ufafanuzi wako.
Hebu tuambie mwenzetu, zakwako nyingine ni zipi maana umehitimisha vizuri sana kama "mnufaika" wa huo mkakati.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…