Wote nyie ni walewale mnaopenda sana kiingereza yaani ni utumwa tu kifikra hakuna kingine. Nendeni pwani huko muone jinsi mapenz yalivyo matamu kwa kiswahili.. Mambo kama laaziz, barafu wa moyo wangu hivi kwa kiingereza yanasemwaje haya ..acheni ushamba bwana alah!