Hakuna loloteTime time.Je wewe masaa 24 yako unayatumia vipi?.na wao.wanayatumia vipi?
Chunguza unavyo tumia masaa yako 24.
Make masaa kila mtu alipewa sawa yaani Hapo hakuna upendeleo. Sasa gap inaanzia kwenye kuyatumia hayo masaa 24
Lakini tuongee ukweli, unamiliki kampuni inayoingiza mamilioni ya pesa mfano tuseme million 100, utaishi kwa kutegemea mshahara wa milioni 2?Wengi huwa mnakosea. Mnachanganya hela ya kampuni na ya mtu binafsi. Mtu anaweza kuwa na kampuni inaingiza millions lakini yeye kama yeye anajilipa kiasi fulani na hatumii nje ya hio. Kwahio kweli unaweza kumuomba milioni 1 au 2 akakwambia hana na wewe ukaona anakunyima kwa sababu unaangalia kipato cha kampuni yake.
Mkuu bora umelichukua kama somo. Mimi mwenyewe nimejifunza sana sisi weusi kupeana support kwenye biashara ni ngumu.Uko sahihi bro! Hata mimi naamini kabisa siku zote hela iliyopo kwenye biashara ina milikiwa na biashara wala sio mtu.
Lakini tuseme tu na ule ukweli siku zote tunafanya kazi hili tuboreshe maisha yetu kwa maana ya kula vizuri, kulala pazuri pamoja na kuwa na balance nzuri kwa ajiri ya emergency. Sasa kwa maisha ya huyo kaka yangu hapo na uhakika hawezi kukosa balance ya millions kadhaa, kwanza harusi yake tu yenyewe anapanga budget sio chini ya 10m. Sasa kwanini asinmegee kidogo kwenye balance yake nitamrudishia pale tu mambo yangu yatakapo tick.
Anyway uchoyo wake umenifanya nijifunze vingi sana
Harusi ya 10M ndiyo inakufanya umkadirie mtu kiasi hicho? 10M kwa harusi za kitanzania mbona kidogo sana. Kama unakaa na mindset ya kutegemea misaada kiasi hiki utangoja sana ndugu yangu. Wakinga wanasaidiana kwa stile moja tu, Fanya kazi zalisha miaka yako itatimia UTATOLEWA (utapewa mtaji). Wahindi akija bongo anahustle kupata "mtaji", anapiga kazi kwa wenzake anatengeneza network, anajenga uaminifu, anapata mtaji ambao ni pesa ya kulipia pango la ofisi au godown tu...baada ya hapo mzigo atapewa na wadau. Fanya kazi acha kutegemea ndugu.Uko sahihi bro! Hata mimi naamini kabisa siku zote hela iliyopo kwenye biashara ina milikiwa na biashara wala sio mtu.
Lakini tuseme tu na ule ukweli siku zote tunafanya kazi hili tuboreshe maisha yetu kwa maana ya kula vizuri, kulala pazuri pamoja na kuwa na balance nzuri kwa ajiri ya emergency. Sasa kwa maisha ya huyo kaka yangu hapo na uhakika hawezi kukosa balance ya millions kadhaa, kwanza harusi yake tu yenyewe anapanga budget sio chini ya 10m. Sasa kwanini asinmegee kidogo kwenye balance yake nitamrudishia pale tu mambo yangu yatakapo tick.
Anyway uchoyo wake umenifanya nijifunze vingi sana
Sijui kama unaelewa hata maana ya sentesi sio chini ya, anyway kiufupi ni kwamba msaada ninao uhitaji mimi uko ndani ya uwezo wake kwa 100%. Mimi sihitaji kufungua kiwanda, ninahitaji starting point tu sijui unanielewa?! Msingi pekee ndio ninaoutafuta na wenyewe hauhitaji gunia la hela.Harusi ya 10M ndiyo inakufanya umkadirie mtu kiasi hicho? 10M kwa harusi za kitanzania mbona kidogo sana. Kama unakaa na mindset ya kutegemea misaada kiasi hiki utangoja sana ndugu yangu. Wakinga wanasaidiana kwa stile moja tu, Fanya kazi zalisha miaka yako itatimia UTATOLEWA (utapewa mtaji). Wahindi akija bongo anahustle kupata "mtaji", anapiga kazi kwa wenzake anatengeneza network, anajenga uaminifu, anapata mtaji ambao ni pesa ya kulipia pango la ofisi au godown tu...baada ya hapo mzigo atapewa na wadau. Fanya kazi acha kutegemea ndugu.
Alafu unaonekana una hela sana, naomba ajira mkuu.Harusi ya 10M ndiyo inakufanya umkadirie mtu kiasi hicho? 10M kwa harusi za kitanzania mbona kidogo sana. Kama unakaa na mindset ya kutegemea misaada kiasi hiki utangoja sana ndugu yangu. Wakinga wanasaidiana kwa stile moja tu, Fanya kazi zalisha miaka yako itatimia UTATOLEWA (utapewa mtaji). Wahindi akija bongo anahustle kupata "mtaji", anapiga kazi kwa wenzake anatengeneza network, anajenga uaminifu, anapata mtaji ambao ni pesa ya kulipia pango la ofisi au godown tu...baada ya hapo mzigo atapewa na wadau. Fanya kazi acha kutegemea ndugu.
Mkuu yatupasa tuondoe kabisa haya mawazo na tukomae sisi wenyewe tu hata kwa udalali kama na wewe hali unayokutana nayo huko ni kama yangu. Sisi weusi yetu majivuni na ubinafsi, ushirikiano wetu ni kwenye misiba tu.Mkuu bora umelichukua kama somo. Mimi mwenyewe nimejifunza sana sisi weusi kupeana support kwenye biashara ni ngumu.
Sijui kama unaelewa hata maana ya sentesi sio chini ya, anyway kiufupi ni kwamba msaada ninao uhitaji mimi uko ndani ya uwezo wake kwa 100%. Mimi sihitaji kufungua kiwanda, ninahitaji starting point tu sijui unanielewa?! Msingi pekee ndio ninaoutafuta na wenyewe hauhitaji gunia la hela.
Pia naomba ufahamu kuwa mpaka nafikia hatua ya kwenda kuomba msaada kwake, nilikuwa tayari nimeshafanya jitihada kadhaa za kwangu mimi mwenyewe ikiwa ni pamoja na kutafuta wanafunzi wa kufundisha masomo ninayoyajua lakini bado nikakwama. Kwa hiyo sikukurupuka tu na kwenda kuomba handouts kwake.
Umeongelea wahindi na wakinga wanavyosaidiana, hapo kwa wahindi nakataa umetupiga kamba, kwa wakinga huko sijui. Wahindi wanatoka huko kwao wakifika hapa bongo hawana hustling ngumu ya kiivyo, wakifikaga hapa wamatukana na wahindi wenzao kwenye maduka au makampuni wanapewa kazi nzuri zenye malipo mazuri kiasi kwamba itakuwa ni rahisi kwao kutimiza lengo LA kupata mtaji kwa muda mfupi, Nina sema hivi sababu nina watu kibao tu wanafanya kazi NYANZA ROAD CO. na kila mwaka huwa wanakuja wahindi hawajui chochote wanakuwa juu yao huku wakilipwa mishaara mizuri kuliko hata wabongo wenye uzoefu wa siku nyingi. Kingine kubali kataa hakuna watu wanaokopeshana kama wahindi hakuna, nenda hata kwenye benki zao fualtilia uone mashariti raisi waliokewa. Kuhusu wahindi usitufanganye kabisaa.
Nakubaliana na wewe nijifunze kujitegemea hata katika hali ngumu vipi sababu ndio jamii yetu ilivyo kila mtu chake. Na pia mimi sio mvivu isipokuwa mazingira tu ndio yanayokutegenezea hiyo taswira kuhusu mimi. N ingekuwa mvivu sidhani kama hata ningekuwa nimeumiza kichwa na kudesigne project ya kufanya.
Hapana, hela sina. Ajira hakuna pia, kama una nguvu njoo Litapwasi tulime viazi tu!Alafu unaonekana una hela sana, naomba ajira mkuu.
Wala hata sio kubiashana, nilikuwa nakurekebisha tu hapo ulipo danganya hili kujustify unachokiamini, bado nakukatalia kabisa kwenye suala la kupata starting points wahindi huwezi ukawalinganisha na mbongo wao wana privileges. Mbali na kusaidiwa kazi yenye maslahi ya kiupendeleo unafahamu mashariti rahisi yaliyopo kwenye hizi benki zao ambazo ziko diaspora chini ya diaspora community OCI(Oversees Citizen of India)? Wewe unafikiri huwa wanaambiwa eti kupata mkopo ni hadi awe na nyumba pamoja na biashara ya miaka miwili??? Muhindi ana privileges wewe sema hapo kwenye nidhamu ukilinganisha na mbongo nnakukubalia.Duh! Huwa sipendi "kubishana", huwa napenda kujadiliana! Wahindi wanaokuja na kufikia kupata kazi zenye mishahara mizuri ni wachache sana, wengi wanaishia kufanya kazi store tu na kulipwa laki 5 mpaka 8 kwa mwezi, wabongo wanaona wanalipwa nyingi kwa sababu katika position hiyohiyo utakuwa mtanzania analipwa 250-3500 ndiyo maana wanalalama, lakini mwisho wa siku zote ni pesa ndogo hata ukigeuza mhindi umpe laki2 mbongo umpe laki 8 bado baada ya miaka 5 mhindi atakuwa na biashara yake na mbongo bado atakuwa anafanya kazi palepale! Hebu peleleza wahindi wengi waliotoka jinsi walivokuja, ninao rafiki wengi sana wa kihindi ndugu, wengine maisha yaliwabana mpaka wakaomba hifadhi kwa waswahili!!!!!! Anyway tuachane na hayo. Hebu nikuulize swali, huyo kaka yako alipewa mtaji nanani?!!....Kwanini unahisi kwamba una haki sana ya kupewa pesa na yeye?
Litapwasi ndio wapi?Hapana, hela sina. Ajira hakuna pia, kama una nguvu njoo Litapwasi tulime viazi tu!
Wewe umefikia wapi ndugu?Akili za wabongo zitaishia kusema wanapata fedha kutokana na ugaidi au pirates hatuendi mbali zaidi ya hapo na hapo ndipo wenzetu wanapotuacha, fursa zipo nyingi ila hatuzioni wao wanakuja kutoka kwao kwenye matatizo wanapofika huku wanapiga fedha tu.
Inamaana wewe ukienda somalia unakua sawa na mwanamke hahahahaWasomali ni wapambanaji sana,iwe kihalalai au kwa magumashi.nina marafiki wengi wakisomali,wanawake ni majasiri kuliko hata wanaume wa kibongo.
Mshahara 2m(mfano)Lakini tuongee ukweli, unamiliki kampuni inayoingiza mamilioni ya pesa mfano tuseme million 100, utaishi kwa kutegemea mshahara wa milioni 2?
Hapana, sema wanafanya mishe ela ya kampuni inachotwa vizuri tu, manunuzi hewa yanafanyika, usitegemee kukuta mmiliki na mkurugenzi waishi kwa mshahara
Wasomali wanapiga kazi balaa, kuna mama bilioner wa kisomali kawekeza Kenya shida tupu, sasa hivi anajenga kiwanda cha sukari uganda analima miwa kijiji hapo uganda kwa ajili ya kiwanda chake..
Vijana wa bongo wanapo nikasirisha ni kujifariji kwa maneno ya kipumbavu, watakwambia hao vijana walikuwa mapirates,
Hakuna mwekezaji anae kuja nchini kwako na hela kwenye mabegi hela zote wanazichukua kwenye mabenk yenu ya ndani...
Vijana waache wasubirie ajira za magufuli na kushinda kwenye vijiwe vya siasa na magrup ya whatsapp,
Tanzania atafika siku 96% ya uchumi wa Tanzania utashikwa na raia wa kigeni