Mahafali ya Chuo Kikuu cha Saut Kufanyika Leo

Mahafali ya Chuo Kikuu cha Saut Kufanyika Leo

Dalton elijah

JF-Expert Member
Joined
Jul 19, 2022
Posts
373
Reaction score
829
Adhimisho la Ibada ya Misa takatifu katika mahafali ya 27 ya Chuo Kikuu cha Mt. Agustino cha Tanzania, yanafanyika leo Desemba 21, 2024 katika Viwanja vya Raila Odinga, chuoni hapo
Ibada hiyo imeongozwa na Askofu Mstaafu Method Kilaini, wa Jimbo Katoliki la Bukoba

471192861_1091828279622168_4181254470566507959_n.jpg


Kabla ya mahafali Zoezi la utolewaji wa zawadi hizo lilifanyika katika kongamano la tatu la Wahitimu wa chuo hicho lililofanyika Desemba 20, 2024 katika ukumbi wa M15 uliopo chuoni hapo, siku moja kabla ya kufanyika kwa mahafali ya 27 ya SAUT.

Baadhi ya Wahitimu wa Chuo Kikuu cha Mt. Agustino cha Tanzania (SAUT) Kampasi ya Mwanza waliofanya vizuri katika masomo yao na wanao taraji kuhitimu katika mahafali ya 27 ya chuo hicho wakipokea zawadi kutoka kwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Kilimo, Bw. Gerald Mweli.

View attachment 3181489

Naibu Makamu mkuu wa chuo taaluma katika Chuo Kikuu cha Mtakatifu Augustino cha Tanzania (SAUT) DVCAA Prof. Hosea Rwegoshora amesema chuo hicho kinatambua mchango wa wahitimu na wake waliofanya vizuri katika masomo yao.
LIST OF PROSPECTIVE GRADUANDS
BAEC 28
BAED 741
BAMC 304
BAPRM 234
BASO 164
BBA 86
BPHILED 41
BSCCE 17
BSCEE 2
BSCP 115
BCT 110
LLB 704
NON DEGREE PROGRAM
307
POST GRADUATES STUDIES
230
 
Adhimisho la Ibada ya Misa takatifu katika mahafali ya 27 ya Chuo Kikuu cha Mt. Agustino cha Tanzania, yanafanyika leo Desemba 21, 2024 katika Viwanja vya Raila Odinga, chuoni hapo
Ibada hiyo imeongozwa na Askofu Mstaafu Method Kilaini, wa Jimbo Katoliki la Bukoba

View attachment 3181494

Kabla ya mahafali Zoezi la utolewaji wa zawadi hizo lilifanyika katika kongamano la tatu la Wahitimu wa chuo hicho lililofanyika Desemba 20, 2024 katika ukumbi wa M15 uliopo chuoni hapo, siku moja kabla ya kufanyika kwa mahafali ya 27 ya SAUT.

Baadhi ya Wahitimu wa Chuo Kikuu cha Mt. Agustino cha Tanzania (SAUT) Kampasi ya Mwanza waliofanya vizuri katika masomo yao na wanao taraji kuhitimu katika mahafali ya 27 ya chuo hicho wakipokea zawadi kutoka kwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Kilimo, Bw. Gerald Mweli.

View attachment 3181489

Naibu Makamu mkuu wa chuo taaluma katika Chuo Kikuu cha Mtakatifu Augustino cha Tanzania (SAUT) DVCAA Prof. Hosea Rwegoshora amesema chuo hicho kinatambua mchango wa wahitimu na wake waliofanya vizuri katika masomo yao.
Kumbe Saut bado ni chuo ki kuu???
 
Nimesoma public Relations and Marketing

Na Sasa nimejiajiri
OK, ila mkuu sijakuuliza kuhusu ajira yako hiyo ni siri yako mkuu, kama umejiajiri umeajiriwa au unatafuta ajira, mimi nataka kukupa hongera kwa ku-graduate na kupata degrer nzuri kutoka chuo ki kuu cha SAUT, Big up
 
OK, ila mkuu sijakuuliza kuhusu ajira yako hiyo ni siri yako mkuu, kama umejiajiri umeajiriwa au unatafuta ajira, mimi nataka kukupa hongera kwa ku-graduate na kupata degrer nzuri kutoka chuo ki kuu cha SAUT, Big up
Asante sana
Nime graduate tangu 2015
SAUT hapo Kuna maarifa na ndo tunatamba nayo Kwa mtaa, tunapata heshima tukiwazidi mbali wale waliosoma vyuo vya kata
 
Back
Top Bottom