Mahakama imeamua kutuona watanzania hatuna ufahamu?

Mahakama imeamua kutuona watanzania hatuna ufahamu?

Nyendo

JF-Expert Member
Joined
Jun 4, 2017
Posts
1,336
Reaction score
4,731
Nakumbuka barua ya kujiuzulu ya Spika Ndugai iliandikwa kwenda kwa Katibu wa CCM na Nakala kwa Katibu wa Bunge.

Leo Mahakama inatupilia mbali kesi ya kupinga kujiuzulu na kutuambia ilikuwa halali kwa sababu barua iliandikwa kwenda kwa katibu wa bunge na nakala kwa katibu wa CCM. Kuna nini kimejificha hapo?

Hata kama mnahisi watanzania ni wendawazimu hii imezidi kiasi.


1643361844400.png

Barua iliyoandikwa na Spika Ndugai
=======
Zaidi soma:Mahakama Kuu yatupilia mbali kesi ya kupinga Ndugai kujiuzulu Uspika. Yasema hakuna ukiukwaji wa Katiba uliofanywa
 
hapo alipoandika nakala ya barua ni taarifa pia?
Kilichofanyika ni sahihi kikatiba..👇👇 Kinachotakiwa kupelekwa ni "TAARIFA iliyo sainiwa"...Taarifa yaweza kuwa BARUA/NAKALA YA BARUA/PRESS RELEASE n.k. SURA YA KUMI NA MOJA 149(1) (C)Iwapo mtu huyo ni Spika au Naibu Spika wa Bunge basi taarifa hiyo ya kujiuzulu ataiwasilisha kwenye Bunge.
 
Yani wali ua demokrasia, walijichagua wenyewe kwenye nafasi za ubunge walivyo fika bungeni wakakumbuka kuna hela zina toka EU masharti ni kwamba muwe na upinzani bungeni, wakakaa wakatafakari waka wachukua kina Halima
 
Usijumuishe watanzania, sema nyie Chadema, nyie ndio mna vichwa vigumu kuelewa
 
Yani wali ua demokrasia, walijichagua wenyewe kwenye nafasi za ubunge walivyo fika bungeni wakakumbuka kuna hela zina toka EU masharti ni kwamba muwe na upinzani bungeni, wakakaa wakatafakari waka wachukua kina Halima
Ndiyo akili za akina Ndugai
 
Kilichofanyika ni sahihi kikatiba..[emoji116][emoji116] Kinachotakiwa kupelekwa ni "TAARIFA iliyo sainiwa"...Taarifa yaweza kuwa BARUA/NAKALA YA BARUA/PRESS RELEASE n.k. SURA YA KUMI NA MOJA 149(1) (C)Iwapo mtu huyo ni Spika au Naibu Spika wa Bunge basi taarifa hiyo ya kujiuzulu ataiwasilisha kwenye Bunge.
Unahisi kwa nini bunge imeondoa hiyo taarifa ya awali?
 
Yani wali ua demokrasia, walijichagua wenyewe kwenye nafasi za ubunge walivyo fika bungeni wakakumbuka kuna hela zina toka EU masharti ni kwamba muwe na upinzani bungeni, wakakaa wakatafakari waka wachukua kina Halima
Katika point zote hii ndiyo point kuhusiana na kujiuzulu kwa mbumbumbu spika Ndugai.
 
Back
Top Bottom