Wajinga bado wengi nchi hi lazima wapige pesa kwa hopeless followers.Wamwache nayeye apige ela wivu tu serikali ya kenya
Hizo ni hearsay leta ushahidi wa hayo maneno kama sio myth tuMi ningekuwa Jaji ningetoa challenge
Ningesema Yesu wa kweli hutembea juu ya maji hivyo bila kudhurika na chochote
Hivyo kuthibitisha kama huyu ndiye mwenyewe ebu zoezi hilo tukalifanyie kwenye mto wenye mamba na viboko ili tuone kama ni kweli.
Kwani mmesahau vile mwamposa ailiachiwa.. aliua watu ishirini kwa uzembe wakeMahakama imemuachia Yesu wa Kenya baada ya wanasheria wake kuhoji mahakama kama inafikiri sio yesu halisi original basi wamlete yule origina wanae mujua, mahakama ikawa kimya bila jibu na ikamua kumuachia baada ya kumkosa yule yesu original.....
Mytake, born again christians is a cult taking advantage of millions of ignorant and poverty striken Africans especially in Ldcs take care.View attachment 2624356
Kuna uhusiano gan kati ya born again christians and this psychological molested guy, kama Yesu mwenyewe alisema watakuja wengi Kwa jina langu wakisema ni Mimi kristo au bible husomi mkuu unashikiwa utash na ma dogma ya chombo lenuMahakama imemuachia Yesu wa Kenya baada ya wanasheria wake kuhoji mahakama kama inafikiri sio yesu halisi original basi wamlete yule origina wanae mujua, mahakama ikawa kimya bila jibu na ikamua kumuachia baada ya kumkosa yule yesu original.....
Mytake, born again christians is a cult taking advantage of millions of ignorant and poverty striken Africans especially in Ldcs take care.View attachment 2624356
Ndio wamlete Sasa atembee juu ya maji! π πMi ningekuwa Jaji ningetoa challenge
Ningesema Yesu wa kweli hutembea juu ya maji bila kudhurika na chochote
Hivyo kuthibitisha kama huyu ndiye mwenyewe ebu zoezi hilo tukalifanyie kwenye mto wenye mamba na viboko ili tuone kama ni kweli.
Sikiliza ntvkenya sasa hivi uone taarifa unavyo sema, fanya tafiti kabla ya kuandika sisi wote ni magalatia ila tunaumia jinsi walokole wanavo dhalilisha dini yetu.Mleta mada ulichoandika uongo mahakama iliagiza akapimwe kama hana ugonjwa wa akili kagundulika anao mahakama ikamwachia kwa dhamana ya shilingi 300 za kenya sawa na shilingi elfu sita za Tanzania
Angejibu;"Your honour,saa hii nimekuja kuchukuanga kondoo zangu tu.Zile muujiza sifanyangi tena.Juu tutachelewa kufika kwa Baba.My apologies,your honour"!πππMi ningekuwa Jaji ningetoa challenge
Ningesema Yesu wa kweli hutembea juu ya maji bila kudhurika na chochote
Hivyo kuthibitisha kama huyu ndiye mwenyewe ebu zoezi hilo tukalifanyie kwenye mto wenye mamba na viboko ili tuone kama ni kweli.
Umeambiwa umlete yesu wa kweli. Kutembea kwenye maji ni hoja nyingine kabisa.Mi ningekuwa Jaji ningetoa challenge
Ningesema Yesu wa kweli hutembea juu ya maji bila kudhurika na chochote
Hivyo kuthibitisha kama huyu ndiye mwenyewe ebu zoezi hilo tukalifanyie kwenye mto wenye mamba na viboko ili tuone kama ni kweli.
Sio walokole wale ni cultMcKenzie amefikisha maiti 201 leo wamegundua maiti zingine 28, hiyo ndo dini ya walokole ambao ni cult, maiti zingine hazikua na Figo ndo ugunduzi upya.