Mahakama Kuu Divisheni ya Uhujumu Uchumi na Rushwa yatupilia mbali mapingamizi 2 kesi ndogo ya Mbowe na Wenzake. Jaji Siyani ajitoa kuendelea na kesi

Wamekubali bana yaisheee...!

Ndio bwana lepo lepo

Tuambie makosa ya wazi ya Mbowe wapi alilipua kituo cha mafuta na wapi amefanya ugaidi? makosa ya Sabaya hata dingi yako anayajua vizuri

Hvyo hvyo Kwa Bwana Mbowe haki itatendeka na ushahidi utawekwa wazi madam kesi inaendelea kusikilizwa...!! Hata hvyo inafkrisha Sana kumfunga miaka 30 mtu aliyekuwa anapambana na Gaidi
 
Hawa watu tumalizane nao kwa nguvu za giza

Nguvu za giza hailipi hawa ni wa nguvu za nuruni.

Lazima tukubali kufa, kujeruhiwa, na kuyajaza magereza yao kwa raha zetu.

Hawa siyo CCM. Hawa ni wateka nyara tu. Wahalifu kama wengine.
 
Kwa Sabaya mahakama ilitenda haki?
Watu wote waliodhulumiwa na sabaya wangeitwa kutoa ushahidi angehukumiwa kunyongwa. Kesi ya sabaya na Mbowe ni vitu viwili tofauti. sabaya alishtakiwa kutokana na malalamiko ya wananchi ila mbowe kashtakiwa na serikali na mashahidi wanaosema mbowe ni gaidi ni polisi na siyo raia. Mashahidi wengi waliokuwa wnatoa against Sabaya ni wananchi waliodhulumiwa. mbowe kamdhulumu nani? hajakutwa hata na kisu wala bomu; ni gaidi gani wa namna hiyo?
 
Hvyo hvyo Kwa Bwana Mbowe haki itatendeka na ushahidi utawekwa wazi madam kesi inaendelea kusikilizwa...!! Hata hvyo inafkrisha Sana kumfunga miaka 30 mtu aliyekuwa anapambana na Gaidi

Haki huonekana ikitendeka. Haki haiji kama mvua.
 
Kwa hitimisho hili ina maana kesi inarudi lini tena mahakamani?
 
Ni masikitiko makubwa sana
Mungu wetu ni Mungu wa haki
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…