Mahakama kuu imesema msanii Elizabeth Michael (Lulu) ana kesi ya kujibu

Mahakama kuu imesema msanii Elizabeth Michael (Lulu) ana kesi ya kujibu

Mmh ngoja niishie hapa tutasuntwa naona binti ana watetezi kila kona. Wakati enzi zile za kanumba kufariki wote walimuita lulu majina mabaya yoote duniani
Magazeti yapo na kipindi cha mkasi kipo na yeye mwenyewe alivyokamatwa aliandika 18 baadae tunaskia 17 jamani tunakumbuka vzr
 
Mungu saidia JUSTICE FOR KANUMBA.Eliza atuambie nini kilichotokea mule chumbani?Afungwe tu Lulu.
Sitashangaa akiachiwa maana kesi za jinai zinahitaji ushahidi usio na shaka yoyote in case of any doubt should be resolved to the benefit of accused person.

Hivi ni ushahidi gani ambao unadhani wanao jamhuri ambao unaweza kuthibitisha moja kwa moja kwamba Lulu ndiye aliyemuua kanumba?

Mashahidi wote hawakuona wala kushuhudia tukio anachokisema lulu kuwa marehemu alianguka mwenyewe it is possible and that raise a doubt unless there is such an evidence!
 
Inaonesha una elimu ndogo juu ya maswala ya sheria mpenzi.

Kiufupi ni hivi katika aina ya makosa, kuna makosa ambayo yameainishwa kama ya jinai na makosa yasiyo ya jinai kama ya madai.

Sasa hapa kosa la Elizabeth Michael linaangukia katika jinai. Kwa maana kuua, kuiba, kutukana, kujeruhi, kutishia kuuwa au kujeruhi, kupiga, kubaka ama kulawiti mtoto mdogo, kutembea na mwanafunzi, kubaka mwanamke au mwanaume, kuendesha gari bila leseni, kukwepa kodi, kutapeli mali ya mtu, kujipatia pesa kwa njia ya udanganyifu, matumizi mabaya ya ofisi za uma, kuendesha gari haijakatiwa bima, kuuza bima feki, na mengineyo mengi ni aina ya makosa ya jinai kwa tafasiri ya kwamba sheria imeyaweka wazi kuwa ni kinyume cha utaratibu wa nchi.

Hivyo basi unapofanya kosa lolote la jinai, anayekukamata ni askari na ndiye anayepeleka mashitaka( kukusemea) kwenye vyombo vya sheria( mahakama) na huko utakwenda kusomewa tuhuma dhidi yako na pale utakapokutwa na hatia na ushahidi dhidi yako kubaini unahusika moja kwa moja na mashitaka husika then hainaga mjadala hiyo ni unakutwa na adhabu ile iliyoainishwa kwa mujibu wa sheria.

Mama kanumba hata akimsamehe hawezi kufanya chochote katika kuzuia huyu binti asipatwe na adhabu pale akikutwa na hatia kwa maana ametenda jinai na ni yeye dhidi ya serikali si dhidi ya mama kanumba. Binadamu tunaongozwa na hisia ila sheria ndizo zinazoongoza mahusiano yetu hapa duniani.

Kwa mfano mimi nikikukuta wewe na mumeo mnagombana na mumeo anakupiga na kukujeruhi ninaweza kwenda kumchukulia polisi.....wakamshika na kumuweka mahabusu, akafunguliwa kesi ya kushambulia na kudhalilisha mwanamke, akahukumiwa muda usiopungua miezi sita na faini si chini ya laki tano. Basi tu huwa tunakaushiana
Asante
 
lulu Mungu amuongeze amalize hili seke seke salamaaa..

I wish usiku ule angekuwa amelala kwao kanumba kama siku yake ilikuwa imefika angefariki mwenyewe tu
 
Sitashangaa akiachiwa maana kesi za jinai zinahitaji ushahidi usio na shaka yoyote in case of any doubt should be resolved to the benefit of accused person.

Hivi ni ushahidi gani ambao unadhani wanao jamhuri ambao unaweza kuthibitisha moja kwa moja kwamba Lulu ndiye aliyemuua kanumba?

Mashahidi wote hawakuona wala kushuhudia tukio anachokisema lulu kuwa marehemu alianguka mwenyewe it is possible and that raise a doubt unless there is such an evidence!
Usifananishe kesi ya kuiba Na kuua.
Je umejiuliza why Mahakama iseme ana kesi ya kujibu??
 
CHAPTER XIXA
Murder and Manslaughter
Manslaughter- 195. Any person who by an unlawful act or omission causes the death of another person is guilty of the felony termed "manslaughter" An unlawful omission is an omission amounting to culpable negligence to discharge a duty tending to the preservation of life or health, whether such omission is or is not accompanied by an intention to cause death or bodily harm.
198. Any person who commits the felony of manslaughter is liable to imprisonment for life.

Mimi siyo mwanasheria,nimepitia pitia tu kwenye penal code,nikuta hizo section,japo nimeelewa kiasi chake but,wanasheria watatuelezea zaidi.
Kuua kwa kutokusudia(Manslaughter) hakufanyi mtuhumiwa asihukumiwe kwenda jela.
 
CHAPTER XIXA
Murder and Manslaughter
Manslaughter- 195. Any person who by an unlawful act or omission causes the death of another person is guilty of the felony termed "manslaughter" An unlawful omission is an omission amounting to culpable negligence to discharge a duty tending to the preservation of life or health, whether such omission is or is not accompanied by an intention to cause death or bodily harm.
198. Any person who commits the felony of manslaughter is liable to imprisonment for life.

Mimi siyo mwanasheria,nimepitia pitia tu kwenye penal code,nikuta hizo section,japo nimeelewa kiasi chake but,wanasheria watatuelezea zaidi.
Kuua kwa kutokusudia(Manslaughter) hakufanyi mtuhumiwa asihukumiwe kwenda jela.
Na uelewe hakuna Jaji ambaye anaweza kutowa hukumu ya kifungo hasa kesi ya aina hii kama hakuba ushahidi usiyotia shaka yoyote dhidi ya mtuhumiwa.

Case hii hakuna eye witness hata mmoja, karata yangu naiweka kwa Lulu kuachiwa huru na mahakama.l
 
Na uelewe hakuna Jaji ambaye anaweza kutowa hukumu ya kifungo hasa kesi ya aina hii kama hakuba ushahidi usiyotia shaka yoyote dhidi ya mtuhumiwa.

Case hii hakuna eye witness hata mmoja, karata yangu naiweka kwa Lulu kuachiwa huru na mahakama.l
Uko sawa mkuu Matola,Ila kwani ni lazima kuwe na eye witness?.Au hata circumstantial evidence(Ushahidi wa kimazingira) unatosha kutoa hukumu stahiki?.Rejea kesi ya Oscar Pistorius.
 
Uko sawa mkuu Matola,Ila kwani ni lazima kuwe na eye witness?.Au hata circumstantial evidence(Ushahidi wa kimazingira) unatosha kutoa hukumu stahiki?.Rejea kesi ya Oscar Pistorius.
Oscar Prestorius ni murder case, tena bunduki imetumika.

Kanumba hakushambuliwa
 
Back
Top Bottom