Kwanza ule mkorogo umeuonaa?[emoji2] [emoji2] [emoji2] mama kichaa yule
Magazeti yapo na kipindi cha mkasi kipo na yeye mwenyewe alivyokamatwa aliandika 18 baadae tunaskia 17 jamani tunakumbuka vzr
Nafahamundugu huyo mama kanumba hata angeamua kumsamehe lulu,lakini bado lulu hashtakiwi na mama kanumba anashtakiwa na jamhuri..
Kwan we hujawai mchukia mtu,unataka nambia lulu haruhusiw kuchukiwa ama...?Hiyo ndio kazi ya mahakama labda utuambie na wewe kumchukia Lulu ndio kazi yako!?
Sitashangaa akiachiwa maana kesi za jinai zinahitaji ushahidi usio na shaka yoyote in case of any doubt should be resolved to the benefit of accused person.Mungu saidia JUSTICE FOR KANUMBA.Eliza atuambie nini kilichotokea mule chumbani?Afungwe tu Lulu.
wa na jamhuhuri siyo mama kanumbaMasikini Lulu. Wamsamehe tu.
Ningekuwa mimi ndo mama kanumba ningesamehe tu kwani hata akifungwa mwanae hawezi kurudi
AsanteInaonesha una elimu ndogo juu ya maswala ya sheria mpenzi.
Kiufupi ni hivi katika aina ya makosa, kuna makosa ambayo yameainishwa kama ya jinai na makosa yasiyo ya jinai kama ya madai.
Sasa hapa kosa la Elizabeth Michael linaangukia katika jinai. Kwa maana kuua, kuiba, kutukana, kujeruhi, kutishia kuuwa au kujeruhi, kupiga, kubaka ama kulawiti mtoto mdogo, kutembea na mwanafunzi, kubaka mwanamke au mwanaume, kuendesha gari bila leseni, kukwepa kodi, kutapeli mali ya mtu, kujipatia pesa kwa njia ya udanganyifu, matumizi mabaya ya ofisi za uma, kuendesha gari haijakatiwa bima, kuuza bima feki, na mengineyo mengi ni aina ya makosa ya jinai kwa tafasiri ya kwamba sheria imeyaweka wazi kuwa ni kinyume cha utaratibu wa nchi.
Hivyo basi unapofanya kosa lolote la jinai, anayekukamata ni askari na ndiye anayepeleka mashitaka( kukusemea) kwenye vyombo vya sheria( mahakama) na huko utakwenda kusomewa tuhuma dhidi yako na pale utakapokutwa na hatia na ushahidi dhidi yako kubaini unahusika moja kwa moja na mashitaka husika then hainaga mjadala hiyo ni unakutwa na adhabu ile iliyoainishwa kwa mujibu wa sheria.
Mama kanumba hata akimsamehe hawezi kufanya chochote katika kuzuia huyu binti asipatwe na adhabu pale akikutwa na hatia kwa maana ametenda jinai na ni yeye dhidi ya serikali si dhidi ya mama kanumba. Binadamu tunaongozwa na hisia ila sheria ndizo zinazoongoza mahusiano yetu hapa duniani.
Kwa mfano mimi nikikukuta wewe na mumeo mnagombana na mumeo anakupiga na kukujeruhi ninaweza kwenda kumchukulia polisi.....wakamshika na kumuweka mahabusu, akafunguliwa kesi ya kushambulia na kudhalilisha mwanamke, akahukumiwa muda usiopungua miezi sita na faini si chini ya laki tano. Basi tu huwa tunakaushiana
Usifananishe kesi ya kuiba Na kuua.Sitashangaa akiachiwa maana kesi za jinai zinahitaji ushahidi usio na shaka yoyote in case of any doubt should be resolved to the benefit of accused person.
Hivi ni ushahidi gani ambao unadhani wanao jamhuri ambao unaweza kuthibitisha moja kwa moja kwamba Lulu ndiye aliyemuua kanumba?
Mashahidi wote hawakuona wala kushuhudia tukio anachokisema lulu kuwa marehemu alianguka mwenyewe it is possible and that raise a doubt unless there is such an evidence!
Nani kakambia minor wanasamehewa? Go back to schoolwatamsamehe tu, maana hata kama alitenda kosa, kipindi kile 2012 bado alikuwa minor(below 18 years)
Wanaume huwa hatuna mambo ya kuchukiana chukiana....Hayo ni mambo yenu wanawake.Kwan we hujawai mchukia mtu,unataka nambia lulu haruhusiw kuchukiwa ama...?
Acha kupanda mbegu ya chuki[emoji3]Kanumba alikuwa msukuma....Makonda Msukuma...Magufuli Msukuma.
Nakwambia hii Lulu atoki.
watamsamehe tu, maana hata kama alitenda kosa, kipindi kile 2012 bado alikuwa minor(below 18 years)
Na uelewe hakuna Jaji ambaye anaweza kutowa hukumu ya kifungo hasa kesi ya aina hii kama hakuba ushahidi usiyotia shaka yoyote dhidi ya mtuhumiwa.CHAPTER XIXA
Murder and Manslaughter
Manslaughter- 195. Any person who by an unlawful act or omission causes the death of another person is guilty of the felony termed "manslaughter" An unlawful omission is an omission amounting to culpable negligence to discharge a duty tending to the preservation of life or health, whether such omission is or is not accompanied by an intention to cause death or bodily harm.
198. Any person who commits the felony of manslaughter is liable to imprisonment for life.
Mimi siyo mwanasheria,nimepitia pitia tu kwenye penal code,nikuta hizo section,japo nimeelewa kiasi chake but,wanasheria watatuelezea zaidi.
Kuua kwa kutokusudia(Manslaughter) hakufanyi mtuhumiwa asihukumiwe kwenda jela.
Uko sawa mkuu Matola,Ila kwani ni lazima kuwe na eye witness?.Au hata circumstantial evidence(Ushahidi wa kimazingira) unatosha kutoa hukumu stahiki?.Rejea kesi ya Oscar Pistorius.Na uelewe hakuna Jaji ambaye anaweza kutowa hukumu ya kifungo hasa kesi ya aina hii kama hakuba ushahidi usiyotia shaka yoyote dhidi ya mtuhumiwa.
Case hii hakuna eye witness hata mmoja, karata yangu naiweka kwa Lulu kuachiwa huru na mahakama.l
Oscar Prestorius ni murder case, tena bunduki imetumika.Uko sawa mkuu Matola,Ila kwani ni lazima kuwe na eye witness?.Au hata circumstantial evidence(Ushahidi wa kimazingira) unatosha kutoa hukumu stahiki?.Rejea kesi ya Oscar Pistorius.