Mahakama kuu imetoa hati kukamatwa Nabii na Mtume Josephati Mwingira

siku za mwisho wakuu'yaani huko nigeria kuna manabii akikunyooshea kidole tu unaanguka'hivi tunamjua mungu kweli au????
 
Mtume wa mitume wa shetani dunia nzima ndo yeye. Kwa nini nasema hivyo.
Shetani ndie mwanzilishi wa kujitukuza(kujiona bora kuliko wengine). Na ukiangalia wafuasi wa mtu yeyote ni lazima waenende kama bwana wao anavyoenenda. Kwa hiyo huyu jamaa naye akiwa mpambe wa shetani ni lazima aenende kwa tabia za bosi wake.
 
Kwani kanisa ni makaburini? Wewe mtu vipi? Hapa kinachoongelewa ni pete wanazopewa hawa "viongozi" wetu baada ya kulala makaburini au kufanya mambo mengine ya kishirikina. Mtu anasifiwa kulindwa na majini na unalilinganisha hilo na pete ya harusi!
hivyo kanisa linatoa pete na makaburi yanatoa pete ! Nini kazi ya pete zinazotolewa kanisani ? Kwa nini Kardinali avae pete ?
 
hivi hawa wanaompelekea 10% huyu msanii mwingira wanafikiri kwa kutumia kiungo gani? Naamini kila jumapili mwingira huwa anacheka all the way to the bank kuangalia makusanyo toka kwa wajinga!

hivi ndo wenye ike bank ya ephata?
 
usisahau na mohamad naye mambo yake alipewa pangoni,majini walimchezea wakampa huo utume wake
Naona Mgalatia Teller imekuuma ! Sie Mwingira tunamuona Mbwinga wa Mbwiguke tuu ! Manabii ndo hao, na Yesu A.S yumo !
 
Jamaa atakuwa kaingiliwa kimasrahi na serekale legelege si bure asinge bwatuka hivyo.
 
Hivi Mtume qualification yake mojawapo ni KUSHUSHIWA KITABU?

Mtume qualifications:
1)according to Shia belief,he must be the most perfect person in his time in all the virtues like knowledge,bravery,generosity, morals and manners,love and fear of God,piety and worship of God, and other good qualities which are admired and desired in a good man.He must be the supreme most in all such virtues in his time.
2)he must be free from such stigma which causes disgrace and disrepute.Thus Mtume cannot be an illegitimate child,he should not choose such profession or work which is looked down upon in his society.He should not suffer from such an ailment which causes repulsion in the people,like leprosy.
3)The third and the most important of all is that Mtume should be 'maasum'ie.,free from every sin,mistake and evil.
4)Mtume must show clear signs and miracles to prove his claim.
 
Mfuasi wa Mwingira tusaidie Ukweli tujue ni kwanini anadharau Mahakama,kule Bagamoyo na Dsm
 
Je hizi sifa zipo kwa Mwingra?
 
Hata Mwingira anapete ya Ndoa lakini haimuzui kufanya unzinzi.Hizo nazo ni pete za kichawi kwani utakuta mtu amevaa pete lakini bado anafumaniwa!
 
Akisema sheikh Yahaya(marehemu) kwamba jamaa wa magogoni analindwa na majini wala siyo issue but since kaongea Mwingira mengi yatasemwa,ukweli Mwingira has nailed the truth.
 
Source :Uhuru&ibada Mwenge
 
Kwani kanisa ni makaburini? Wewe mtu vipi? Hapa kinachoongelewa ni pete wanazopewa hawa "viongozi" wetu baada ya kulala makaburini au kufanya mambo mengine ya kishirikina. Mtu anasifiwa kulindwa na majini na unalilinganisha hilo na pete ya harusi!
Kanisa Katoliki yapo makaburi ndani ya Kanisa. Wakati wa misa za wafu...
 
hivyo kanisa linatoa pete na makaburi yanatoa pete ! Nini kazi ya pete zinazotolewa kanisani ? Kwa nini Kardinali avae pete ?

Wewe Ally kombo achana na mambo ya kulala makaburini,trust yourself and God is a living God,He'll always be there for you sucker.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…