Murashani GALACTICO
JF-Expert Member
- Feb 27, 2012
- 2,511
- 5,390
Kwa kayafa labda legacy ya kuzungumza kiswahiliTukumbuke kuendeleza legacy
Mi 10 tena kwa mama!Ninacho furahi ni kuyaona mataga yakizidi kuumia kila siku ya Mungu.
Hakika mama Samia ni Dr wa kweli wa kutibu madonda tuliyo wachiwa na push gang
TZS 350 m/=! A hell of money! Mungu ni mwema kila wakati.Mahakama Kuu, imebatilisha hukumu ya Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu ya kesi ya Jinai iliyokuwa ikimkabili Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe na wenzake 7 na kuamuru warejeshewe fedha walizolipa kama faini, kiasi cha Sh.350 milioni. Uamuzi huo umetolewa leo na Jaji Irvin Mgeta. View attachment 1829233
Ulinzi na 5 tenaaaaaNashauri Mama aongezewe ulinzi.
Zanzibar wanahofu ya Mungu na wanajua wakifanya dhulma ni adhabu mbele ya Mungu njia ya kubwa ni kutoifanya kama unajua.tena waislamu wa Zanzibar. Yaonekana Mama amegoma kabisa kushiriki dhurma. Zanzibar oyeee... !
Hakuna dhuluma ni dhama za kila mtu mwenye uwezo achukue anachoweza kuongoza,nchi sio kama familia hasa katika nchi yenye makabila 120 majaji wakiwemo ,ndio maana kesi zote tanzania ulizokuwa tunashtakiwa kimataifa kabla jpm tulishindwa lakini baada ya yeye kuja huo ujinga ulikoma na sasa umerudi kwa kasi.Wewe ndio huna akili kabisa! Kwani acacia wakishinda wakalipwa chao kunatatizo gani?? Kila aliyedhulumiwa apewe chake halali bila kujali ni ACACIA wala nani[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Amen mkuuTuache waislamu waongoze nchi hakuna namna, ukiangalia dikteta, Ndugai, Mwigulu, Makonda, Mnyeti, Kabudi, Ndalichako, Gwajima, Sabaya, Kasesele n.k unaona kabisa sisi wakristo ni watu wa hovyo sn sijui hata makanisani tunafundishwa nini? mbona Bwana wetu Yesu Kristo ni mnyenyekevu sn? kuna la kujifunza asee.
Heri ya moja iliyo mkononi kuliko 10 unazosubiri.Sooon kuna watu wataumia.wanavutwaaa wakijaa wanapigwa counter attack..serikari ni ile ile
Hutaki hama nchi yetu urudi kwenu Rwanda, intetahamwe nyinyiHakuna dhuluma ni dhama za kila mtu mwenye uwezo achukue anachoweza kuongoza,nchi sio kama familia hasa katika nchi yenye makabila 120 majaji wakiwemo ,ndio maana kesi zote tanzania ulizokuwa tunashtakiwa kimataifa kabla jpm tulishindwa lakini baada ya yeye kuja huo ujinga ulikoma na sasa umerudi kwa kasi.
Nikasema hiiKwa kayafa labda legacy ya kuzungumza kiswahili
FontNikasema hii
Hata mimi nimeliwaza hilo, Watu wanajificha kwenye kudai haki lakini kuna ujanja ujanja mwingi sana. Maana hata wapigaji wapo wanapiga kutumia mgongo wa mahakama.Hakuna dhuluma ni dhama za kila mtu mwenye uwezo achukue anachoweza kuongoza,nchi sio kama familia hasa katika nchi yenye makabila 120 majaji wakiwemo ,ndio maana kesi zote tanzania ulizokuwa tunashtakiwa kimataifa kabla jpm tulishindwa lakini baada ya yeye kuja huo ujinga ulikoma na sasa umerudi kwa kasi.
Mpuuzi wewe,tulikuwa na mahakama kwa kipindi cha miaka mitano iliyopita ?Hakuna dhuluma ni dhama za kila mtu mwenye uwezo achukue anachoweza kuongoza,nchi sio kama familia hasa katika nchi yenye makabila 120 majaji wakiwemo ,ndio maana kesi zote tanzania ulizokuwa tunashtakiwa kimataifa kabla jpm tulishindwa lakini baada ya yeye kuja huo ujinga ulikoma na sasa umerudi kwa kasi.