Wiki jana ilikuwa ni sherehe za miaka 100 ya Mahakama ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Ukiangalia kiusahihi utaona kwamba hii ni miaka 100 ya Mahakama ya Tanzania Bara.
Hii ni kwa sababu Zanzibar wana mahakama yao tofauti kabisa na hii iliyotimiza miaka 100.
Nasikia Mahakama ya Zanzibar ilianza mwaka 1979 chini ya Rais Aboud Jumbe.
Hivyo Mahakama ya Zanzibar haijatimiza miaka 43.
Jadiliy.
Ukiangalia kiusahihi utaona kwamba hii ni miaka 100 ya Mahakama ya Tanzania Bara.
Hii ni kwa sababu Zanzibar wana mahakama yao tofauti kabisa na hii iliyotimiza miaka 100.
Nasikia Mahakama ya Zanzibar ilianza mwaka 1979 chini ya Rais Aboud Jumbe.
Hivyo Mahakama ya Zanzibar haijatimiza miaka 43.
Jadiliy.