Kheri Hansen
JF-Expert Member
- Jan 20, 2018
- 1,025
- 1,238
hata mm naunga mkono...mchumaji mali huwa ni mwanaume, ila wanawake wanadhani papuchi ndo gia ya kila kitu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio, nimesema Pasu kwa pasu haifaiHata kama anakuwa passive lkn pasu kwa pasu sio haki, ni dhuluma iliyo wazi. Kinachotakiwa ni kukokotoa asilimia anayoweza pata kwa nafasi yake kama mke; na mume pia hivyo hivyo anatakiwa kupata asilimia fulani ikiwa mke ndo alikuwa mtafutaji.