Mahakama Kuu yatoa kibali kwa LSK na KHRC kuwasilisha ombi la mapitio KAA kukodisha JKIA kwa Adani

Mahakama Kuu yatoa kibali kwa LSK na KHRC kuwasilisha ombi la mapitio KAA kukodisha JKIA kwa Adani

JanguKamaJangu

JF-Expert Member
Joined
Feb 7, 2022
Posts
2,780
Reaction score
6,607
photo_2024-09-10_08-32-26.jpg

Mahakama Kuu yatoa kibali kwa LSK na KHRC kuwasilisha ombi la mapitio ya kisheria kuhusu uamuzi wa KAA wa kukodisha JKIA kwa Adani kwa miaka 30.

Mahakama pia imetoa amri za kuhifadhi ambazo zinakataza mtu yeyote kutekeleza au kufanya chochote kuhusu mapendekezo ya Adani kuhusu JKIA mpaka kesi hiyo itakapomalizika.

Pia soma: Mchakato wa Adani kukabidhiwa JKIA waendelea licha ya migomo
 
Back
Top Bottom