Lupweko
JF-Expert Member
- Mar 26, 2009
- 23,566
- 24,891
Sizungumzi TFF tu, mahali popote pale kupaongoza lazima elimu iwepo kichwani. Vipaji viishie uwanjani. TFF itaongozwaje na Ninja kwa mfano?Utakua ni mmoja wa CHAWA wa huyo Msomali bila shaka, na pia upo kwenye payrol yake! Hivyo ni haki yako kusema hivi.