Mahakama kuu yawaondolea lawama watumishi wote wa tume ya uchaguzi

Mahakama kuu yawaondolea lawama watumishi wote wa tume ya uchaguzi

MK254

JF-Expert Member
Joined
May 11, 2013
Posts
32,408
Reaction score
50,809
Labda wataalam wa sheria watusaidie kudadavua hizi kauli za hii mahakama maana inajikanganya na kubadilisha badilisha gia kama yale magari ya zamani. Hapa mahakama imetoa tamko la kuondolea lawama watendaji wote wa IEBC na kusema makosa yaliyotendeka hayakua ya makusudi ila hitilafu tu za kiukarani kwenye tume. Na pia kwamba hakukua na wizi wowote wa kura.
Imeendelea kusema kuwa ina imani na tume, kwamba itaweza kuendesha marudio ya uchaguzi bila hitilafu.

Sasa kauli kama hizi mbona haziendani na tuhuma alizowasilisha Raila Odinga, maana yeye amebwatuka siku zote kwamba tume ya IEBC ilihusika pakubwa kwenye kuiba kura zake. Na ameishia kutishia kwamba atavuruga uchaguzi iwapo watumishi kadhaa aliowataja hawatapigwa chini na kufungwa jela.

Yaani hii mahakama imeanza kutia hasira, wametupotezea muda na kitita kikubwa cha hela, sawa tutarudia na tutaamka asubuhi kupiga kura lakini wajue wengi tumeanza kushindwa na uzalendo na uvumilivu bila haki.
Waamue kimoja na kukomaa nacho sio kuyumba yumba kihivi.
-------------------------------------------------------------------------

Electoral commissioners and staff were let off the hook for the numerous irregularities which caused the nullification of the August 8 presidential election.

The Supreme Court said it had found “systemic institutional problems” but no evidence of criminal intent or wrongdoing by the commissioners and secretariat staff.

To some extent that paves the way for the commission to oversee the fresh election which must be held in 35 days, but comes against a backdrop of the serious indictment of the commission’s work in managing the election.

The court explained that it nullified President Uhuru Kenya’s re-election because, among others, the returning officer, Mr Wafula Chebukati, did not verify the results before declaring a winner.

The court, chaired by Mr Justice David Maraga, detailed how the Independent Electoral and Boundaries Commission (IEBC), violated the constitution and laws in the management of the August 8 presidential election.

FORMS 34S
Judges said Mr Chebukati, who is the IEBC chairman, did not have all forms 34A at the time of the declaration. According to the court, Mr Chebukati ought to have verified that the forms 34B, which were filled by returning officers, faithfully reflected what was contained in forms 34A, filled by presiding officers at the polling stations.

Also, the court indicted the commission for irregularities by not ensuring that the results forms were standardised, signed, stamped and had security features.

But in a dramatic development, Lady Justice Njoki Ndungu, in a lengthy dissenting judgment, systematically disproved the basis of her colleague’s case, saying that she had personally examined all the forms said not to have been signed and found them signed, those said not to have serial numbers actually had them and that all those complained of were properly compliant.

This raises serious questions about the management of evidence and verification of facts by judges and court staff.

COURT BATTLES

The spectre of further court battles was raised when Mr Fred Ngatia, one of the lawyers representing the President, opposed a request to have the presidential ballot boxes opened and re-used. He also requested copies of the judgement overnight, referring obliquely to “other processes.”

The majority ruling, which was signed by Justice Maraga, Deputy Chief Justice Philomena Mwilu, Justice Smokin Wanjala, Justice Mohamed Ebrahim, Justice Lenaola said irregularities were serious enough to make it impossible to uphold the elections results. Justice Wanjala (foreign trip) and Justice Ibrahim (indisposed), were however, absent.

“We find that the 2017 election was not conducted in accordance with the election laws and the constitution. It was not, inter alia transparent, fair, credible and verifiable. On that ground alone, we have no choice but to nullify it,” ruled Lady Justice Mwilu.

Reading an important part of the majority ruling, Lady Justice Mwilu argued that an election should be seen as a process which starts from registration of voters all the way to the announcing of verified results. Any failure to comply with any step of the process, she said, affects the validity of the election.

VERDICT

“Elections aren’t just about the results numbers, but the process. In numbers there must be a computational path to arrive at the results. Elections begin with registration of voters, nomination, voting, counting, tallying, verifying and announcing results. Election is not an event but a process. Any non-compliance with any part affects the validity,” she said.

Mr Justice Jackton Ojwang, like Justice Ndung’u, dissented, arguing that any irregularities were not adequate to warrant overturning the election verdict.

The two judges criticised their colleagues for basing their judgment on the process of the election, rather than its outcome, saying that this is a departure from the tradition set by the court and risks damaging the legal system.

Mr Chebukati on August 11 declared President Kenyatta winner with 8.2 million votes, representing 54.2 per cent of valid votes, beating Mr Odinga who had 6.8 million votes accounting for 44 per cent of the votes.

Yesterday, Justice Maraga warned that failure to uphold the Constitution could easily lead to tyranny and urged politicians not to fall prey to the temptations of power. “The greatness of nation does not lie in its armies, the largeness of an economy but fidelity to the Constitution, adherence to the rule of law and fear of God. Where the law ends, tyranny begins. Even the best rulers have fallen prey to the naked desires of power,” he said.

FAULTY FORM 34A

In the majority ruling, the court found that Mr Chebukati declared President Kenyatta the winner using a faulty Form 34 C drawn from the contents of forms 34B, some of dubious authenticity. “Form 34 C which was used to announce presidential results did not have security features,” the CJ ruled.

Delving into what the court termed as the puzzle of Forms 34A, Lady Justice Mwilu questioned the decision of the IEBC to ignore the originating document and opt to use forms 34B.

She questioned why the commission failed to avail all forms 34A to the petitioner three days after declaration of the results and whether all forms 34A were simultaneously transmitted to the Constituency Tallying Centre and National Tallying Centre. “If so, why were the forms not available? If not, why?” she posed. Lady Justice Mwilu recalled that IEBC lawyer Paul Nyamodi confirmed that Form 34C was drawn entirely from forms 34B “ in exclusion of forms 34A”.

Referring to the Court of Appeal ruling in the case involving former United Nations Special rapporteur Maina Kiai, Khelef Khalifa and Tirop Kitur, which declared that the presidential election results as declared by the constituency returning officers should be considered as final, she said it did not exclude forms 34A in determining the final presidential vote.

The three had sought a declaration that the presidential election results as declared by the constituency returning officers should be considered as final.

EZRA CHILOBA

“We (judges) were at pains to understand how the Court of Appeal ruling justified this. What remains uncontroverted is that on 15th August, three days after the declaration of the results, IEBC CEO Ezra Chiloba was saying it was not in a position to provide 34A forms as requested by Nasa, an implicit acceptance that IEBC declared presidential results based on 34B forms,” she said.

Justice Maraga said they found that the IEBC used results forms which had varying security features.

So, he said, were carbon copies which had or lacked security features in spite of being printed by one company—Al Ghurair Printing and Publishing based in Dubai. This, he said, affected Forms 34 A, B and C. The court said discrepancies in results forms affected 70 constituencies which accounted for five million votes.

“Were they forgeries? Who introduced them into the system? If they were genuine, why were they different? This posed a dilemma over election results for us,” he said.

The court, still, ruled that the Kenya Integrated Election Management (KIEMS) — which are used to identify voters and transmit results — was modified without reference to all the candidates.

PRESIDENTIAL RESULTS

“The election law requires the commission to send presidential results from the polling station to the constituency tallying centre and national tallying centre simultaneously to guard against tinkering,” the judges.

The court also took issue with IEBC’s announcement two days to the polling day that after their mapping they had realized that out of the 40,883 polling stations around the country, 11,155 did not have 3G or 4G GSM network coverage for transmission of results.

The court poked holes into this claim, saying the commission didn’t say when they did this mapping and added it was common knowledge most of the areas cited (some in Bomet, Kisii, Kisumu, Bungoma, Murang’a) had the requisite network.

In any event, the judges said, IEBC ICT director James Muhati had assured the country that appropriate measures had been taken to enhance transmission rate in those polling stations which accounted for 3.5 million voters.

One of these measures was instructing presiding officers to move to areas where there was 4G or 3G network for purposes of sending results.

Justice Isaac Lenaola said the commission conducted elections so badly that it failed to comply with the constitution and the elections laws.

He said when Mr Odinga moved to court, IEBC failed to avail election materials within 48 hours as required under the law, compelling the court to order the commission to open its servers to determine its footprints and scrutiny of the elections materials.

By Julius Sigei, Bernard Namunane, Sam Kiplagat, Ibrahim Oruko and Richard Munguti

IEBC off the hook
 
Mjipange kupambana acheni kulalamika naamini kama ilikuwa haki yenu mtashinda tena
 
Labda wataalam wa sheria watusaidie kudadavua hizi kauli za hii mahakama maana inajikanganya na kubadilisha badilisha gia kama yale magari ya zamani. Hapa mahakama imetoa tamko la kuondolea lawama watendaji wote wa IEBC na kusema makosa yaliyotendeka hayakua ya makusudi ila hitilafu tu za kiukarani kwenye tume. Na pia kwamba hakukua na wizi wowote wa kura.
Imeendelea kusema kuwa ina imani na tume, kwamba itaweza kuendesha marudio ya uchaguzi bila hitilafu.

Sasa kauli kama hizi mbona haziendani na tuhuma alizowasilisha Raila Odinga, maana yeye amebwatuka siku zote kwamba tume ya IEBC ilihusika pakubwa kwenye kuiba kura zake. Na ameishia kutishia kwamba atavuruga uchaguzi iwapo watumishi kadhaa aliowataja hawatapigwa chini na kufungwa jela.

Yaani hii mahakama imeanza kutia hasira, wametupotezea muda na kitita kikubwa cha hela, sawa tutarudia na tutaamka asubuhi kupiga kura lakini wajue wengi tumeanza kushindwa na uzalendo na uvumilivu bila haki.
Waamue kimoja na kukomaa nacho sio kuyumba yumba kihivi.
-------------------------------------------------------------------------

Electoral commissioners and staff were let off the hook for the numerous irregularities which caused the nullification of the August 8 presidential election.

The Supreme Court said it had found “systemic institutional problems” but no evidence of criminal intent or wrongdoing by the commissioners and secretariat staff.

To some extent that paves the way for the commission to oversee the fresh election which must be held in 35 days, but comes against a backdrop of the serious indictment of the commission’s work in managing the election.

The court explained that it nullified President Uhuru Kenya’s re-election because, among others, the returning officer, Mr Wafula Chebukati, did not verify the results before declaring a winner.

The court, chaired by Mr Justice David Maraga, detailed how the Independent Electoral and Boundaries Commission (IEBC), violated the constitution and laws in the management of the August 8 presidential election.

FORMS 34S
Judges said Mr Chebukati, who is the IEBC chairman, did not have all forms 34A at the time of the declaration. According to the court, Mr Chebukati ought to have verified that the forms 34B, which were filled by returning officers, faithfully reflected what was contained in forms 34A, filled by presiding officers at the polling stations.

Also, the court indicted the commission for irregularities by not ensuring that the results forms were standardised, signed, stamped and had security features.

But in a dramatic development, Lady Justice Njoki Ndungu, in a lengthy dissenting judgment, systematically disproved the basis of her colleague’s case, saying that she had personally examined all the forms said not to have been signed and found them signed, those said not to have serial numbers actually had them and that all those complained of were properly compliant.

This raises serious questions about the management of evidence and verification of facts by judges and court staff.

COURT BATTLES

The spectre of further court battles was raised when Mr Fred Ngatia, one of the lawyers representing the President, opposed a request to have the presidential ballot boxes opened and re-used. He also requested copies of the judgement overnight, referring obliquely to “other processes.”

The majority ruling, which was signed by Justice Maraga, Deputy Chief Justice Philomena Mwilu, Justice Smokin Wanjala, Justice Mohamed Ebrahim, Justice Lenaola said irregularities were serious enough to make it impossible to uphold the elections results. Justice Wanjala (foreign trip) and Justice Ibrahim (indisposed), were however, absent.

“We find that the 2017 election was not conducted in accordance with the election laws and the constitution. It was not, inter alia transparent, fair, credible and verifiable. On that ground alone, we have no choice but to nullify it,” ruled Lady Justice Mwilu.

Reading an important part of the majority ruling, Lady Justice Mwilu argued that an election should be seen as a process which starts from registration of voters all the way to the announcing of verified results. Any failure to comply with any step of the process, she said, affects the validity of the election.

VERDICT

“Elections aren’t just about the results numbers, but the process. In numbers there must be a computational path to arrive at the results. Elections begin with registration of voters, nomination, voting, counting, tallying, verifying and announcing results. Election is not an event but a process. Any non-compliance with any part affects the validity,” she said.

Mr Justice Jackton Ojwang, like Justice Ndung’u, dissented, arguing that any irregularities were not adequate to warrant overturning the election verdict.

The two judges criticised their colleagues for basing their judgment on the process of the election, rather than its outcome, saying that this is a departure from the tradition set by the court and risks damaging the legal system.

Mr Chebukati on August 11 declared President Kenyatta winner with 8.2 million votes, representing 54.2 per cent of valid votes, beating Mr Odinga who had 6.8 million votes accounting for 44 per cent of the votes.

Yesterday, Justice Maraga warned that failure to uphold the Constitution could easily lead to tyranny and urged politicians not to fall prey to the temptations of power. “The greatness of nation does not lie in its armies, the largeness of an economy but fidelity to the Constitution, adherence to the rule of law and fear of God. Where the law ends, tyranny begins. Even the best rulers have fallen prey to the naked desires of power,” he said.

FAULTY FORM 34A

In the majority ruling, the court found that Mr Chebukati declared President Kenyatta the winner using a faulty Form 34 C drawn from the contents of forms 34B, some of dubious authenticity. “Form 34 C which was used to announce presidential results did not have security features,” the CJ ruled.

Delving into what the court termed as the puzzle of Forms 34A, Lady Justice Mwilu questioned the decision of the IEBC to ignore the originating document and opt to use forms 34B.

She questioned why the commission failed to avail all forms 34A to the petitioner three days after declaration of the results and whether all forms 34A were simultaneously transmitted to the Constituency Tallying Centre and National Tallying Centre. “If so, why were the forms not available? If not, why?” she posed. Lady Justice Mwilu recalled that IEBC lawyer Paul Nyamodi confirmed that Form 34C was drawn entirely from forms 34B “ in exclusion of forms 34A”.

Referring to the Court of Appeal ruling in the case involving former United Nations Special rapporteur Maina Kiai, Khelef Khalifa and Tirop Kitur, which declared that the presidential election results as declared by the constituency returning officers should be considered as final, she said it did not exclude forms 34A in determining the final presidential vote.

The three had sought a declaration that the presidential election results as declared by the constituency returning officers should be considered as final.

EZRA CHILOBA

“We (judges) were at pains to understand how the Court of Appeal ruling justified this. What remains uncontroverted is that on 15th August, three days after the declaration of the results, IEBC CEO Ezra Chiloba was saying it was not in a position to provide 34A forms as requested by Nasa, an implicit acceptance that IEBC declared presidential results based on 34B forms,” she said.

Justice Maraga said they found that the IEBC used results forms which had varying security features.

So, he said, were carbon copies which had or lacked security features in spite of being printed by one company—Al Ghurair Printing and Publishing based in Dubai. This, he said, affected Forms 34 A, B and C. The court said discrepancies in results forms affected 70 constituencies which accounted for five million votes.

“Were they forgeries? Who introduced them into the system? If they were genuine, why were they different? This posed a dilemma over election results for us,” he said.

The court, still, ruled that the Kenya Integrated Election Management (KIEMS) — which are used to identify voters and transmit results — was modified without reference to all the candidates.

PRESIDENTIAL RESULTS

“The election law requires the commission to send presidential results from the polling station to the constituency tallying centre and national tallying centre simultaneously to guard against tinkering,” the judges.

The court also took issue with IEBC’s announcement two days to the polling day that after their mapping they had realized that out of the 40,883 polling stations around the country, 11,155 did not have 3G or 4G GSM network coverage for transmission of results.

The court poked holes into this claim, saying the commission didn’t say when they did this mapping and added it was common knowledge most of the areas cited (some in Bomet, Kisii, Kisumu, Bungoma, Murang’a) had the requisite network.

In any event, the judges said, IEBC ICT director James Muhati had assured the country that appropriate measures had been taken to enhance transmission rate in those polling stations which accounted for 3.5 million voters.

One of these measures was instructing presiding officers to move to areas where there was 4G or 3G network for purposes of sending results.

Justice Isaac Lenaola said the commission conducted elections so badly that it failed to comply with the constitution and the elections laws.

He said when Mr Odinga moved to court, IEBC failed to avail election materials within 48 hours as required under the law, compelling the court to order the commission to open its servers to determine its footprints and scrutiny of the elections materials.

By Julius Sigei, Bernard Namunane, Sam Kiplagat, Ibrahim Oruko and Richard Munguti

IEBC off the hook
Mbona hausemi kuwa mahakama imesema tume ya uchaguzi ikirudia mizengwe iliyofanya katika uchaguzi uliopita katika uchaguzi wa tarehe 17 mwezi ujao, kesi ikipelekwa mahakamani, watatoa maamuzi kama waliotoa sasa.
Mjipange kupambana acheni kulalamika naamini kama ilikuwa haki yenu mtashinda tena
 
Hawa wana Nasa(Raila) wabishi sio kawaida. Ila kwa upande mwingine ukiwasikiliza matakwa yao, somehow yana tija. Kwa mfano kama kampuni ya kuchapisha makaratasi haikufanya kazi yake vizuri kiasi cha kuchapisha makaratasi mengine yasio na security features, ukijumlisha na inavyodaiwa kuwa hiyo kampuni inahusishwa na mgobea mojawapo, kwanini wakomae nayo? Kwani kampuni ni hiyo tu hapa duniani?
Upande wajubilee nao wamejaa hasira kiasi cha busara kuwatoka kabisa. Wamekomaa na 'numbers'... akati mi nakumbuka during my engineering exam UE kuna swali lilitoka nishawai kulifanya so jibu nikawa nalikumbuka ila njia ikantoka, mi nikalifanya hadi nipoweza alafu nikadanganya danganyaaaa mwisho wa siku nikapachika jibu!. Prof sasa alivyokua complicator hakunipa hata mark 1!! Kazungushia kwenye uwongo kauliza where is this from? Needless to say naheshimu sana digital signal processing! Kwa wanaoielewa!
Point yangu utaaminije namba kama process ya kupata hiyo namba inatiliwa shaka?! Mi naona watulie tu ushindi kama wao ni wao tu. Hapa ni kwenda tu kusafisha ushindi.
 
Mbona hausemi kuwa mahakama imesema tume ya uchaguzi ikirudia mizengwe iliyofanya katika uchaguzi uliopita katika uchaguzi wa tarehe 17 mwezi ujao, kesi ikipelekwa mahakamani, watatoa maamuzi kama waliotoa sasa.
Mbona mahakama ilikubali chaguzi za Senators ,MCA's and wabunge zilizo simamiwa na hiyo tume yenye mapungufu zisimame ?
 
Hawa wana Nasa(Raila) wabishi sio kawaida. Ila kwa upande mwingine ukiwasikiliza matakwa yao, somehow yana tija. Kwa mfano kama kampuni ya kuchapisha makaratasi haikufanya kazi yake vizuri kiasi cha kuchapisha makaratasi mengine yasio na security features, ukijumlisha na inavyodaiwa kuwa hiyo kampuni inahusishwa na mgobea mojawapo, kwanini wakomae nayo? Kwani kampuni ni hiyo tu hapa duniani?
Upande wajubilee nao wamejaa hasira kiasi cha busara kuwatoka kabisa. Wamekomaa na 'numbers'... akati mi nakumbuka during my engineering exam UE kuna swali lilitoka nishawai kulifanya so jibu nikawa nalikumbuka ila njia ikantoka, mi nikalifanya hadi nipoweza alafu nikadanganya danganyaaaa mwisho wa siku nikapachika jibu!. Prof sasa alivyokua complicator hakunipa hata mark 1!! Kazungushia kwenye uwongo kauliza where is this from? Needless to say naheshimu sana digital signal processing! Kwa wanaoielewa!
Point yangu utaaminije namba kama process ya kupata hiyo namba inatiliwa shaka?! Mi naona watulie tu ushindi kama wao ni wao tu. Hapa ni kwenda tu kusafisha ushindi.

Bila kuelewa nini hasa kilitendeka naona kuna dalili za sisi kurudi huku huku hata baada ya kurudia uchaguzi, mmojawapo wa majaji yule mama Njoki Ndugu kwenye taarifa yake ameeleza kwamba alizipitia hizo fomu/dodoso moja baada ya nyingine na hakukumbana na yoyote ambayo haikua na hizo 'security features'. Hii imepelekea kesi kupelekwa mahakamani ili masijara/registry wa mahakama waliotoa hizo kauli za awali washtakiwe.

Kwa kifupi, hapa issue sio kurudia uchaguzi, lakini kujua nini haswa sababu za maamuzi hayo. Hapa majaji wameondolea lawama wahudumu wote wa tume, na kumbuka pia fomu zinazotiliwa mashaka na NASA ni zile za kule mashinani, ikiwa na maana kama kweli, basi viti vyote vilivyotangazwa kwenye ngazi zote ni batili na kama vipi uchaguzi wote urudiwe.

Naona tutakanganyana na kuzuguka mbuyu hadi mida ya wanga lakini hapatakua na ufumbuzi.
 
Bado Raila hana ubavu wa kumshinda Uhuru, ila uhuru naye aache kuropoka ropoka pumba apige kampeni mtindo mmoja atapita tu tena kwa asilimia kubwa kuanzia 10 kwenda juu.
 
Bila kuelewa nini hasa kilitendeka naona kuna dalili za sisi kurudi huku huku hata baada ya kurudia uchaguzi, mmojawapo wa majaji yule mama Njoki Ndugu kwenye taarifa yake ameeleza kwamba alizipitia hizo fomu/dodoso moja baada ya nyingine na hakukumbana na yoyote ambayo haikua na hizo 'security features'. Hii imepelekea kesi kupelekwa mahakamani ili masijara/registry wa mahakama waliotoa hizo kauli za awali washtakiwe.

Kwa kifupi, hapa issue sio kurudia uchaguzi, lakini kujua nini haswa sababu za maamuzi hayo. Hapa majaji wameondolea lawama wahudumu wote wa tume, na kumbuka pia fomu zinazotiliwa mashaka na NASA ni zile za kule mashinani, ikiwa na maana kama kweli, basi viti vyote vilivyotangazwa kwenye ngazi zote ni batili na kama vipi uchaguzi wote urudiwe.

Naona tutakanganyana na kuzuguka mbuyu hadi mida ya wanga lakini hapatakua na ufumbuzi.
Nakubaliana nawe asilimia nyingi kama sio zote coz Huu uchaguzi umekua very expensive kwenu lakini tukitupilia mbali gharama, manufaa ya maamuzi ya mahakama itaskika vizazi na vizazi. Coz kama nilielewa vizuri maamuzi ya mahakama tume haikufata katiba na sheria zilizopo. Huo ushindi ulikua wa katiba!
Mimi ningekua jaji ningetupilia uchaguzi wa uhuru kwa sababu kuu mbili.
1. Kama tume ilitangaza matokeo kabla ya kupokea fomu 34A zote (kinyume na katiba) na wakatumia transmitted infomation kwanini walishindwa kufungua hiyo transmission system (servers) kabla ya koti kutoa amri hiyo na hata baada ya amri still walishindwa ku comply ukizingatia Kuna ushahidi wa watu kutengeneza account na password ya chebukati na kubadili data.
2. Tofauti kati ya kura za gavana seneta na urais imetokeaje. Nakumbuka tume ilijikanyaga sana kuelezea hii tofauti.
 
Mbona mahakama ilikubali chaguzi za Senators ,MCA's and wabunge zilizo simamiwa na hiyo tume yenye mapungufu zisimame ?
Hapa ndio wana jubilee huniacha hoi! Mahakama sio referee, mahakama ni msuluishi. Asipolalamika mtu mahakama haina haja kuliongelea. Nasa walilalamikia uchaguzi wa urais(labda ndo walikua na ushahidi nao) na ndo mahakama ikashughulikia. Angetokea mwingine akapinga chaguzi zima kwa ushahidi labda maamuzi yangekua mengine.
 
Nakubaliana nawe asilimia nyingi kama sio zote coz Huu uchaguzi umekua very expensive kwenu lakini tukitupilia mbali gharama, manufaa ya maamuzi ya mahakama itaskika vizazi na vizazi. Coz kama nilielewa vizuri maamuzi ya mahakama tume haikufata katiba na sheria zilizopo. Huo ushindi ulikua wa katiba!
Mimi ningekua jaji ningetupilia uchaguzi wa uhuru kwa sababu kuu mbili.
1. Kama tume ilitangaza matokeo kabla ya kupokea fomu 34A zote (kinyume na katiba) na wakatumia transmitted infomation kwanini walishindwa kufungua hiyo transmission system (servers) kabla ya koti kutoa amri hiyo na hata baada ya amri still walishindwa ku comply ukizingatia Kuna ushahidi wa watu kutengeneza account na password ya chebukati na kubadili data.
2. Tofauti kati ya kura za gavana seneta na urais imetokeaje. Nakumbuka tume ilijikanyaga sana kuelezea hii tofauti.

Sio mara ya kwanza kwa mshindi kutangazwa kabla taarifa hazijafika zote, hili lipo kwenye kumbukumbu na maktaba ya taifa. Kuna utaratibu na desturi inayoruhusu kutangazwa kwa mshindi pale tarakimu na takwimu zinaonyesha na kudhihirisha kwamba zilizosalia hata zikifika zote hapatakua na tofauti yoyote.

Halafu hilo la server, mahakama ilitoa amri ya kitu waliita 'read only' ambacho hakikutolewa maelezo zaidi na pia makataa/deadline ilikua fupi. Kuna mifumo na miundo ya servers ambazo hauwezi ukaingia kutoa taarifa kiulaini tu kisa umeagizwa, lazima taratibu fulani zifuatwe, hizi server japo zinamilikiwa na IEBC lakini utaalam wake ni wa kampuni iliyoko Ulaya. Hivyo pia hapo kuna masuala mengi ya kiitifaki na urasimu maana kila mmoja lazima ajilinde yasije yakamtokea puani siku za usoni.

Mkija kwangu kwenye server ambayo nimehifadhi data zenu halafu nione jinsi mnapanic na huku mumeambatana na watumishi wa mahakama na wataalam kutokea vyama tofauti na kila mtu anabwatuka na mikwara balaa, lazima nijilinde kwa kuhakikisha hamuingii kwenye mifumo yangu kiulaini.

Sisemi kwamba hapakua na matatizo au ukiukwaji wa desturi na taratibu, lakini vyote vikidadavuliwa kwa kina utaona hapakua na haja ya kurudia uchaguzi, tulihitaji kuhesabu kura upya. Kumbuka kuna hili limeibuka kwamba dodoso zote hizo hamna iliyokua na matatizo.
 
Sikuhizi nipo kikazi zaidi. Lakini kwa hii thread achaniseme unajitekenya nakucheka mwenyewe. Tulia uone kitakachotokea alafu nitarudi kwenye hii thread. Action speaks better than worlds.
 
Hivi mtoa thread unajua kuwa hadi sasa viongozi wapatao 4 wameshaondoka ndani ya IEBC na wengine kufukuzwa? Hivi unahabari kuwa bado IEBC inampango wskuondoa wengine.

Pamoja nahayo pitia kesi walioandaka NASA kwenda mahakamani nasio kuwa waondolewe tu baliwashikwe nakufungwa.
IMG_20170923_225635.jpg
IMG_20170923_225621.jpg
IMG_20170923_225607.jpg
IMG_20170923_225557.jpg
IMG_20170923_225549.jpg
 
Hivi mtoa thread unajua kuwa hadi sasa viongozi wapatao 4 wameshaondoka ndani ya IEBC na wengine kufukuzwa? Hivi unahabari kuwa bado IEBC inampango wskuondoa wengine.

Pamoja nahayo pitia kesi walioandaka NASA kwenda mahakamani nasio kuwa waondolewe tu baliwashikwe nakufungwa.
View attachment 594425 View attachment 594427 View attachment 594428 View attachment 594430 View attachment 594431

Pamoja na kwamba sheria au uwakili sio taaluma yangu lakini aliyeandika haya mashtaka anafaa kuyapitia upya maana yamejaa hitilafu nyingi kitaalam.
 
Mjipange kupambana acheni kulalamika naamini kama ilikuwa haki yenu mtashinda tena
Wale majiji wanne yaani pamoja na jaji mkuu ni wakufunga jela miaka kadha kwa kadha kwa sababu wametia hasara taifa la Kenya kwa kusema kura irudiwe kupigwa badala ya kufungua masanduku ya kura na kuhesabu kura mojamoja kujuwa mshindi. Mahakama imesema tatizo halikuwa kwenye kupiga kura na kuhesabu ila tatizo ni kujaza fomu na kuzituma kwa kutumia mitambo makao makuu Boma Nairobi. Kwa hiyo hapo majaji hawakutumia akili zao kwa busara. Shs billions 12 zitakazotumika kwa marudio ya kura hao majiji wanne itabidi waje kudaiwa na wananchi masikini wa Kenya na wakati huohuo wamevuruga uchumi wa nchi kwa kiwango kikubwa sana.
 
Wale majiji wanne yaani pamoja na jaji mkuu ni wakufunga jela miaka kadha kwa kadha kwa sababu wametia hasara taifa la Kenya kwa kusema kura irudiwe kupigwa badala ya kufungua masanduku ya kura na kuhesabu kura mojamoja kujuwa mshindi. Mahakama imesema tatizo halikuwa kwenye kupiga kura na kuhesabu ila tatizo ni kujaza fomu na kuzituma kwa kutumia mitambo makao makuu Boma Nairobi. Kwa hiyo hapo majaji hawakutumia akili zao kwa busara. Shs billions 12 zitakazotumika kwa marudio ya kura hao majiji wanne itabidi waje kudaiwa na wananchi masikini wa Kenya na wakati huohuo wamevuruga uchumi wa nchi kwa kiwango kikubwa sana.
Wakulaumiwa ni tume, hawakufanya kazi yao kama kanuni na sheria zinavyotaka.
Utahesabuje kura wakati wenyewe wameshindwa kuelezea kwanini kura za rais, gavana na seneta zinatofauti kubwa! Ukumbuke wapo watu waliokamatwa na extra ballot papers inamaana kunauwezekano ambao hawakukamatwa ndo chanzo cha tofauti ya kura hizo.
Aliewatia hasara ya billioni 12 kama ulivyosema ni hao waliocheza huo mchezo pamoja na tume ilioruhusu hako ka mchezo. Majaji wamewaumbua tu.
 
Pamoja na kwamba sheria au uwakili sio taaluma yangu lakini aliyeandika haya mashtaka anafaa kuyapitia upya maana yamejaa hitilafu nyingi kitaalam.
Nimesema action speaks better than worlds. DPP nae kaisha liamsha dude. Tulia utaona nimesema. Kwa sasa nisingependa kutoa mipango ya NASA. Ila nachoweza kuwambia kunawatu ndani ya Jubilee wanakisaliti chama. Kuna mtu kutoka NASA Jubilee wamempokea anawapa siri NASA. Tulieni nitawapa hint moja humu mtashangaa sana. But I need some good time to do that.

Tobiko orders probe on top IEBC officials over bungled election
4 hours ago







This follows the verdict of the Supreme Court which nullified the presidential election on grounds of massive irregularities and illegalities blamed on some of the IEBC officials. Photo/FILE.
NAIROBI, Kenya Sep 24 – The Director of Public Prosecutions Keriako Tobiko has directed the Ethics and Anti-Corruption Commission and the Directorate of Criminal Investigations to investigate top electoral commission officials and some of the Opposition heavyweights for alleged irregularities and illegalities in the management of the August 8 elections.


Those he wants investigated include IEBC CEO Ezra Chiloba, Betty Nyabuto, Immaculate Kassait, James Muhati, Praxedes Tororey, Moses Kipkogey, Abdi Guliye, Moluboya, Marjan Hussein Marjan, Paul Mugo and Bonface Wamae.

This follows the verdict of the Supreme Court which nullified the presidential election on grounds of massive irregularities and illegalities blamed on some of the IEBC officials.

“Undertake thorough, comprehensive and expeditious investigations into the irregularities and illegalities found by the Supreme Court to have been committed by the IEBC in relation to the Presidential Election with a view of establishing whether electoral and/or other criminal offences including corruption or economic crimes may have been committed by the officials or any of them and those who may have aided, abetted, counseled or procured the commission of any such crimes,” Tobiko wrote in a letter addressed to the Directorate of Criminal Investigations and the Ethics and Anti Corruption Commission chiefs Ndegwa Muhoro and Halakhe Waqo respectively.


Kwenye huu uchaguzi ningeomba tutulie kwa sababu nivita ya siri ya hali ya juu. Achaniendelee nakazi. Alafu nitaludi.
 
Nimesema action speaks better than worlds. DPP nae kaisha liamsha dude. Tulia utaona nimesema. Kwa sasa nisingependa kutoa mipango ya NASA. Ila nachoweza kuwambia kunawatu ndani ya Jubilee wanakisaliti chama. Kuna mtu kutoka NASA Jubilee wamempokea anawapa siri NASA. Tulieni nitawapa hint moja humu mtashangaa sana. But I need some good time to do that.

Tobiko orders probe on top IEBC officials over bungled election
4 hours ago







This follows the verdict of the Supreme Court which nullified the presidential election on grounds of massive irregularities and illegalities blamed on some of the IEBC officials. Photo/FILE.
NAIROBI, Kenya Sep 24 – The Director of Public Prosecutions Keriako Tobiko has directed the Ethics and Anti-Corruption Commission and the Directorate of Criminal Investigations to investigate top electoral commission officials and some of the Opposition heavyweights for alleged irregularities and illegalities in the management of the August 8 elections.


Those he wants investigated include IEBC CEO Ezra Chiloba, Betty Nyabuto, Immaculate Kassait, James Muhati, Praxedes Tororey, Moses Kipkogey, Abdi Guliye, Moluboya, Marjan Hussein Marjan, Paul Mugo and Bonface Wamae.

This follows the verdict of the Supreme Court which nullified the presidential election on grounds of massive irregularities and illegalities blamed on some of the IEBC officials.

“Undertake thorough, comprehensive and expeditious investigations into the irregularities and illegalities found by the Supreme Court to have been committed by the IEBC in relation to the Presidential Election with a view of establishing whether electoral and/or other criminal offences including corruption or economic crimes may have been committed by the officials or any of them and those who may have aided, abetted, counseled or procured the commission of any such crimes,” Tobiko wrote in a letter addressed to the Directorate of Criminal Investigations and the Ethics and Anti Corruption Commission chiefs Ndegwa Muhoro and Halakhe Waqo respectively.


Kwenye huu uchaguzi ningeomba tutulie kwa sababu nivita ya siri ya hali ya juu. Achaniendelee nakazi. Alafu nitaludi.

Hehehe halafu wewe ulitoweka, hizi mbwembwe zako tulikuambia utaishia aibu, sasa naona umepata pakutokea.
Hivyo unaona NASA tu ndio wenye uwezo wa kupachika mashushushu ndani ya Jubilee, kwa taarifa yako huu mchezo una wenyewe.
Kwanza imebainika nani kaingiza fake forms ili ionekane kulikua na wizi, mambo yameanza kuanikwa. Kuna mengi yataibuka siku zijazo.
 
Hehehe halafu wewe ulitoweka, hizi mbwembwe zako tulikuambia utaishia aibu, sasa naona umepata pakutokea.
Hivyo unaona NASA tu ndio wenye uwezo wa kupachika mashushushu ndani ya Jubilee, kwa taarifa yako huu mchezo una wenyewe.
Kwanza imebainika nani kaingiza fake forms ili ionekane kulikua na wizi, mambo yameanza kuanikwa. Kuna mengi yataibuka siku zijazo.
Hapo hakuna swala la fake forms nasijapotea kama unavyodai. Nasijawahi kuaibika. Mwanzo mshindi niliwambia atakuwa Uhuru. Nanikasema hatoshinda kiuwalisia ilaatatengenezewa mazingira ya yeye kushinda naikatokea. Kwa sasa IEBC wanajua kuwa wako chini ya Supreme court nakuna kutoelewana tena na Jubileem Jubilee kwa sasa they can't be trusted any more by IEBC kama kweli watawalinda waki rig election tena. Kwa taarifa yako majority of Jubilee officials hawataki hii election ifanyike lakini Uhuru pekeyake ndoanataka. Kuna mazingira Jubilee wanataka kutengeneza kuwa mahakama iliwagandamiza. Ndomaana nakwambia tulieni kwanza its too early to judge anything. UHURUTO they are confused na Jubilee kwa sasa imegawanyika kimikakati. Siri zao zinavuja sanaaa. NASA kwa sasa wanasiri zao nyingi sana. Just wait and see.
 
Back
Top Bottom