William Mshumbusi
JF-Expert Member
- Mar 27, 2012
- 1,761
- 2,391
Leo Spika angekataa kuwavua ubunge akina mdee Chadema wasingeweza kwenda mahakamani kupinga uamuzi wake. Kupitia Sheria ya kinga kwa spika Basi mahakama isingeweza kabisa kuingilia maamuzi yake. Kunasheria zilitungwa ili kutumika kwa wapinzani tu. Mfano ile iliyoweka zuio la Spika kushitakiwa. Hii Sheria ni mbovu kuwahi kutokea.
Ila leo mahakama imemzuia Spika kufanya analisisi na kuja na mahamuzi. Imeona ifanye yewewe na iwavue ubunge yenyewe na sio Spika Tena Spika akiwa bado hajafanya maamuzi yoyote. Je, wakina Mdee walishindwa kabisa kupeleka malalamiko yao kwa spika na Spika kupitia vifungu na kutoa maamuzi sahihi?
Kwanini mahakama iingilie Kati shauri ambalo bunge bado halijatoa uamuzi. Leo ata mahakama ikiwavua uanachama akina mdee Spika akakataa kuwavua ubunge akina pa kumpeleka. Hivyo ni mtu asiyefikiria tu anaweza kuzani swala la covid linaweza kuamliwa kisheria. Kwani Sheria zetu NI za ovyo Sana na zinachanganya mno.
Bila kujali wamewasikiliza au kutowasikiliza utetezi wa kina Mdee, wanachama ndio walioamua kuuvua uanachama akina Mdee.
Kama maamuzi hayakuwa ya haki wajumbe ndio walitakiwa kufungua kesi kupinga kunyimwa fursa ya kupiga kura kwa Uhuru sio akina Mdee.
Kama wanachama hawawataki wanachama mahakama Inaweza kuwalazimisha?
Je, mahakama inatakiwa iamue uanachama tu. Uanachama ndio ukaamue Ubunge. Sasa mahakama kuweka zuio la Ubunge NI kichekesho sababu Kamati kuu na Baraza kuu waliamua juu ya uanachama wa kina Mdee na si Ubunge wao.
Mahakama ingeamua tu akina Mdee wasivuliwe uanachama Hadi kesi ya msingi isikilizwe na maswala ya Ubunge ikamwachia Spika aseme Sasa kuwa NI wanachama halali hivyo hawavui Ubunge.
Kifupi akina Mdee walitakiwa kufanya kila linalowezekana ili wanachama wajue hoja zao na waje wafanye maamuzi sahihi. Kupitia media na kila wanavyojua
Mahakama itakuwa ya ajabu ikisema uongozi wa chadema usio na Dola uliwatisha wajumbe wote ili wasifanye maamuzi.
Akina Mdee walipaswa wafikishe hoja kwa wajumbe mapema kupitia siasa. Kama mahakama Leo imemzuia Spika kufanya maamuzi ile Sheria ya Kinga ya spika ifutwe.
Ila leo mahakama imemzuia Spika kufanya analisisi na kuja na mahamuzi. Imeona ifanye yewewe na iwavue ubunge yenyewe na sio Spika Tena Spika akiwa bado hajafanya maamuzi yoyote. Je, wakina Mdee walishindwa kabisa kupeleka malalamiko yao kwa spika na Spika kupitia vifungu na kutoa maamuzi sahihi?
Kwanini mahakama iingilie Kati shauri ambalo bunge bado halijatoa uamuzi. Leo ata mahakama ikiwavua uanachama akina mdee Spika akakataa kuwavua ubunge akina pa kumpeleka. Hivyo ni mtu asiyefikiria tu anaweza kuzani swala la covid linaweza kuamliwa kisheria. Kwani Sheria zetu NI za ovyo Sana na zinachanganya mno.
Bila kujali wamewasikiliza au kutowasikiliza utetezi wa kina Mdee, wanachama ndio walioamua kuuvua uanachama akina Mdee.
Kama maamuzi hayakuwa ya haki wajumbe ndio walitakiwa kufungua kesi kupinga kunyimwa fursa ya kupiga kura kwa Uhuru sio akina Mdee.
Kama wanachama hawawataki wanachama mahakama Inaweza kuwalazimisha?
Je, mahakama inatakiwa iamue uanachama tu. Uanachama ndio ukaamue Ubunge. Sasa mahakama kuweka zuio la Ubunge NI kichekesho sababu Kamati kuu na Baraza kuu waliamua juu ya uanachama wa kina Mdee na si Ubunge wao.
Mahakama ingeamua tu akina Mdee wasivuliwe uanachama Hadi kesi ya msingi isikilizwe na maswala ya Ubunge ikamwachia Spika aseme Sasa kuwa NI wanachama halali hivyo hawavui Ubunge.
Kifupi akina Mdee walitakiwa kufanya kila linalowezekana ili wanachama wajue hoja zao na waje wafanye maamuzi sahihi. Kupitia media na kila wanavyojua
Mahakama itakuwa ya ajabu ikisema uongozi wa chadema usio na Dola uliwatisha wajumbe wote ili wasifanye maamuzi.
Akina Mdee walipaswa wafikishe hoja kwa wajumbe mapema kupitia siasa. Kama mahakama Leo imemzuia Spika kufanya maamuzi ile Sheria ya Kinga ya spika ifutwe.