Mahakama na Polisi Shirikishi wa Godfather

Mahakama na Polisi Shirikishi wa Godfather

Hakika hili Ni somo kubwa

Watu hawaendi kuangalia cinema kwa burudani tu bali pia kuchota hekima zinazofundishwa kwenye cinema hizo!! Hivyo THE GODFATHER ni picha ambayo ina mafundisho mengi juu ya kutoa/kudhulumu haki za watu sio kuonesha umafia tu!
 
Yaah palikuwa kimya mara ghafla bin vuu uwanda wa Don vikasikika vigeregere na vifijo kumbe mwamba umeingia
Guana,
John Fontain kaingia.
Yule ni Frank Sinatra.

Alimfuata Mario Puzo akamshutumu kwa kumtia ndani ya kitabu chake.

Nusra ngumi zitimke.
 
Sasa hivi nasoma kitabu cha GodFather revenge cha Mario Puzo na sasa Mkuu wa Mafia wa New York ni mtoto wa Don Veto Corleon, Don Michael Corleone
Una interest na kusoma vitimbwi vya Mafia? Soma kitabu kinachoitwa ''I Heard You Paint Houses'' kilichoandikwa na Charles Brandt hutajuta. Kinaelezea moja ya nadharia kadhaa jinsi Jimmy Hoffa alivyouawa. Jimmy Hoffa alikuwa ni kiongozi wa Chama cha Wafanyakazi huko Marekani na alitoweka na mpaka sasa haijulikani ni nini kilimpata. Pia alikuwa kwenye genge la Mafia .Sasa hiki kitabu kinalezea jinsi alivyouawa na maelezo yanatoka kutoka kwa Mafia mwenzake alipohojiwa na Charles wakati anakaribia kufariki. Kweli Mafia ni ushirika wa hatari.
 
Una interest na kusoma vitimbwi vya Mafia? Soma kitabu kinachoitwa ''I Heard You Paint Houses'' kilichoandikwa na Charles Brandt hutajuta. Kinaelezea moja ya nadharia kadhaa jinsi Jimmy Hoffa alivyouawa. Jimmy Hoffa alikuwa ni kiongozi wa Chama cha Wafanyakazi huko Marekani na alitoweka na mpaka sasa haijulikani ni nini kilimpata. Pia alikuwa kwenye genge la Mafia .Sasa hiki kitabu kinalezea jinsi alivyouawa na maelezo yanatoka kutoka kwa Mafia mwenzake alipohojiwa na Charles wakati anakaribia kufariki. Kweli Mafia ni ushirika wa hatari.
Macho...
Aangalie movie "Goodfellas."
 
Back
Top Bottom