Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, imepanga kutoa uamuzi wa dhamana Boniface Jacob, septemba 23, 2024

Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, imepanga kutoa uamuzi wa dhamana Boniface Jacob, septemba 23, 2024

Umeandika pang'ang'a tu ndugu Kalamu...

Maswala yenyewe hujayataja....ficha upumbavu wako mbele za waungwana....
Nyie ni "waungwana" sana; na uungwana huo sasa hivi unajidhihirisha bila kificho.
Watu hatimaye wameelewa maana kila mara mnapohimiza uungwana maana yake ni nini.
 
Kesi ya bon mawakili was cdm wakimtumia vizuri itaawambua Sana watekaji.
 
Mnyika na Boniyai wanajua kitu kuhusu kifo cha Mzee Kibao. WAISAIDIE POLISI
Mmmmmm wanajuaje ? Siri nzito wanayo US Embassy Dar.....pamoja Intelligence zao nchini ña duniani......hakuna siri chini ya jua....wasihe kujidanganya......Saa 100 anadanganywa
 
Back
Top Bottom