JanguKamaJangu
JF-Expert Member
- Feb 7, 2022
- 2,780
- 6,607
Mbali na Jacob, mshtakiwa wa pili katika kesi hiyo ya jinai namba 11805/2024 ni Godlisten Malisa (38) ambaye ni ofisa afya na mkazi wa Moshi mkoani Kilimanjaro.
Jacob ambaye ni mkazi wa Mbezi Msakuzi na mwenzake Malisa wanakabiliwa na mashtaka matatu, huku mawili kati ya hayo yakikabili Jacob pekee.
Uamuzo huo umetolewa leo Jumanne Julai 30, 2024 na Hakimu Mkazi Mkuu, Ushindi Swallo baada ya washtakiwa hao kusomewa hoja za awali( PH).
Chanzo: Mwananchi