Hawachi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2018
- 12,010
- 54,194
HahahahaHao walifungwa kipindi cha JK,mbatizaji veeepe?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HahahahaHao walifungwa kipindi cha JK,mbatizaji veeepe?
Alikua mtu wa visasi kama wana CCM wenzake ila tofauti na wenzake yeye anajichekesha chekesha huku anakushughulikia.Kipindi cha JK alikuwa anawashughulikia pale ambapo kelele zimekuwa nyingi,anawatia kadhaa wa kafara issue inaisha!Hao walikuwa scape goat!
mimi nafuatilia zaidi udhibiti wa mafisadi. na hadi sasa sijaona fisadi aliyeonja jela ingawa naona bado wapo wanapeta huku wengine wakipewa vyeo mbalimbali na tumeshuhudia baadhi ya wakisifiwa hadharani na JPM mwenyewe kuwa ni watu wazuri, wapole, waungwana na hawakumtukana wakati wa kampeni.Kwahiyo tangu Dr Slaa arudi CCM hakuna fisadi aliyefungwa jela?