DOKEZO Mahakama ya Mwanzo Bunda mjini inawachangisha walalamikaji Tsh 1,500 ya kununua faili

DOKEZO Mahakama ya Mwanzo Bunda mjini inawachangisha walalamikaji Tsh 1,500 ya kununua faili

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'

Majitha

Member
Joined
Jan 4, 2016
Posts
17
Reaction score
8
Sijui kama hili limewakumbuka na wengine au lakini hali ya Mahakama ya Mwanzo Bunda si shwari. Walalamikaji wanapokwenda kusikiliza kesi zao wanachangishwa pesa ya kununua mafaili @ 1500 na bila kutoa hiyo pesa fail yako haiwezi kusomwa.

Mtu anayekusanya hizo fedha ni karani jina na picha tunamhifadhi. Ili kulinda heshima yake. Tunachoomba mahakama nunueni hayo mafail na karatasi pia za kuprintia tunaambiwa wateja hakuna ili tukanunue wenyewe.

Sidhani mahakama kama mnakosa fungu la kununua mafaili au karatasi,
 
Kwahiyo tunakubaliana. kwamba tumerudi tulipotoka kabla ya Jiwe?
 
Back
Top Bottom