Mahakama ya UAE imewahukumu adhabu ya kifungo cha maisha waislamu wa siasa kali 53 kwa makosa ya ugaidi

Yani umeongopa sana wacha nikuumbue sura moja baada ya nyingine subiri hapo hapo MUONGO MKUBWA.
 
Tuanze na Qur'an 19:71.
Katika Qur'an kuna aya za mushahaabihaat,bimaana ili kupata maana ya ayah moja itabidi usome mlolongo kuanzia ayah ya juu.
Yani ayah za maana ya kushahabiana ama kufuatana.
Ulitakiwa uanzie verse 67 ambako Allah anamzungumzia binadamu kwa ujumla ambako huku chini anakuja kumzungumzia binadamu muovu na kutahadharisha kuwa nasi tukiwa waovu basi hatutaukwepa huo moto wa jehannam.
Soma hapo nakunywa chai nakuja kukuumbua kwingine ulikodanganya.
 
Wangefungwa na Marekani Dunia nzima ingetoboka masikio
 
Ulitakiwa uanze ayah ya kwanza.
Inayosema "Hakika ushindani wa starehe za dunia umewasahaulisha ama umewatenza nguvu".
Verse 2 inasema "mpaka mtakapoingia kaburini".
Kesha ndio unaendelea na ayah ulizoleta.
Ila unapotosha maana unaanza na ayah ya 3 ukaacha mlolongo wa ya kwanza na ya pili.
Hiyo surah inazungumzia wale watu waliojikita na dunia wakaona kana kwamba wataishi milele na wakasahau kama kuna kufa na kuna maisha baada ya kufa.

Nakuja na maelezo ya mwisho.
 
We jamaa huwa huishiwi kuropoka uongo.
Halafu nilishakusihi uongo hautakunufaisha lolote.
Hakuna vita ambayo waislam walianzisha kipindi cha Muhammad.
Vita zote zilianzishwa na majeshi ya makafiri.
Na ayah zote za jihad zilizotoka zilikuja kwa mlengwa wa kuwaruhusu waislam wapambane dhidi ya tawala za kikafiri.
Kama uislamu ingekua dini ya vita basi;
-Wangeanzisha vita Mecca ambapo walinyanyaswa na makurayshi ila walichagua kuhama.
-Wangeanzisha vita dhidi ya utawala wa Mecca ambapo walipozuiliwa kwenda kuhiji,ila walijizuia na hawakupigana.
-Mtume asingeingia mkataba ama makubaliano ya amani ni wayahudi wa Madina.
-Mtume asingeingia mkataba ama makubaliano ya amani na Roman empire,kasome suratul ruum utaipata hiyo habari.

Na jihadi ililenga kuangusha utawala wa aina yeyote uliokua unapinga uwepo wa uislamu.
Hakuna vita ya jihadi ilopiganwa kulazimisha watu kuwa waislam au kuua watu wasiokua waislam.
Ndio maana sharti za jihadi ziliwekwa kama ifuatavyo;
-Marufuku kuua asiyeshika silaha,mwanamke,mzee na mtoto.
-Marufuku kuharibu mali za watu.
-Marufuku kuharibu mji bimaana majumba.
-Marufuku kuharibu mazao na mimea.

Uongo hautakunufaisha lolote kijana,haukupi faida yeyote ile.
 
SIO KWELI.

Kama hiyo hoja ni ya kweli mbona huwa hawaweki ushahidi hapa
Vipo baadhi ya vikundi vimeundwa na USA na Israel,Mathalan ISIS.
Na vipo ambavyo vimewahi kufadhiliwa na USA Mathalan TALEBAN.
Na ushahidi upo,kamsikilize Hillary Clinton.
Kuna vingine sawa havijaundwa na westerners ila westerners huwatumia kwa mlengwa wao.
 
Nabii wenu alikuwa bedui halafu pedophile
Lete ushahidi wa uyasemayo.
Maana katika wake wa mtume wadogo ni bi.Aisha peke yake,nane wote walobaki walikua wakubwa tena kuliko hata yeye.
Pedophile anatembea na wanawake walomzidi umri!?
 
Muslim Brotherhood ndio baba wa Hamas.
 
Please don't quote kweny kitabu ambacho one of its writers alishasema Muddy alikuwa anajitungua mambo, na Muddy akamuua jamaa kwa kusema ukweli.

Please don't quote kweny kitabu kilicho copy, edit and paste characters and events from Judaism and Christiancity.

Please don't quote kweny kitabu kilichojaa mambo ya ajabu kama vile eti shetani analala kweny pua zenu usiku.

Please don't quote kweny kitabu ambacho kinahalalisha mzee wa miaka 50 kulala na kitoto cha miaka 9, cha kushangaza wenzake walivomwomba mwanae akakataa kwa kusema wao ni wazee na mwanae ni mdogo sana, wakati yeye alimkunja Aysha akiwa na miaka 9, pedophile??

Niendelee.....
 
Prophet Mohammad was an illiterate Bedouin, He could read neither the Bible nor the Torah, There were very few Christians in the desert where he lived, they never had extra copies of the Bible. The Jews were in Medina and they were very conservative and a closed community, they did not have extra copies of the Torah.

I doubt if there were copies of the Torah or Bible at all in possession of the Jews and Christians of Arabia. I consider it a miracle; ikiwa Mtume Muhammad alikuwa na copies of the Torah and the Bible for himself to study and copy while in the cave.

Let us assume that he had copies. it is naive to believe that those copies were in Arabic so he could read them. Let us assume that these books had instant google translations, how could a known illiterate read them.

Punguzeni uwongo kidogo, let us assume that all miracles took place and Prophet Mohammad did possess copies of Torah and Bible, how could he add “his own stuff” without breaking the rhythm or the texture of the book

Let us assume that all are done, Prophet Mohammed, did add his own stuff to the word of God and published the Qur'an, How no one managed to produce one Chapter similar to the 114 chapters of the Qur'an?

The Challenge still standing:

“And if you are in doubt about what We have sent down upon Our Servant [Muhammad (Peace Be Upon Him)], then produce a surah the like thereof and call upon your witnesses other than Allah, if you should be truthful.”
(Qur'an 2: 23)


“Or do they say (about the Prophet), "He invented it?" Say, "Then bring forth a surah like it and call upon (for assistance) whomever you can besides Allah, if you should be truthful.(Qur'an 10:38)

An Illiterate Bedouin managing to get copies of the Torah and the “Bible” in his language (Arabic), copying them, adding his own stuff and publishing a book then challenging everyone to produce a similar copy or even a verse is really very “unbelievable”. Adding to this, more than 1.8 billion people live and die by this book. Can you really believe it?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…