Sky Eclat
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 57,761
- 216,011
Waliochoka wamekimbia majukumu na kujipa kazi ya kutangaza utaliiMwamba kawa mdogo balaa, anatia huruma kwa kweli, mwachie tu akapumzike zake Kenya na Dubai, kwanza kwa umri wake hiyo mikikimikiki haimfai kwa sasa, awaachie akina Pambalu, yeye acheze nyuma ya stage