Waliochoka wamekimbia majukumu na kujipa kazi ya kutangaza utaliiMwamba kawa mdogo balaa, anatia huruma kwa kweli, mwachie tu akapumzike zake Kenya na Dubai, kwanza kwa umri wake hiyo mikikimikiki haimfai kwa sasa, awaachie akina Pambalu, yeye acheze nyuma ya stage
Neno kubwa sana hiliNinacho elewa ni kwamba MUNGU habahatishi, akitenda, watesi wata tafutana sana tu,[emoji3577][emoji3577][emoji3577]
Kama kumfunza adabu laa sasa imetosha, huku tumeanza kuungani suala la vyama tunalitupia mbali hata kama vyama tofauti. Nimemuona afya yake inaporomoka. Laa uchungu sana.Kesi ya Ugaidi inayomkabili Freeman Mbowe na wenzake watatu inaendelea kuunguruma kwenye Mahakama ya Uhujumu uchumi , Ambapo mvutano wa kisheria umekuwa mkali hasa baada ya Mapingamizi yaliyowekwa na Mawakili wa Mbowe kuwa ya moto .
Kesi imeahirishwa kwa muda ili kuiruhusu Mahakama kupitia mapingamizi hayo na ufafanuzi wa mawakili wa serikali
View attachment 1922291
Kesi ya Ugaidi inayomkabili Freeman Mbowe na wenzake watatu inaendelea kuunguruma kwenye Mahakama ya Uhujumu uchumi , Ambapo mvutano wa kisheria umekuwa mkali hasa baada ya Mapingamizi yaliyowekwa na Mawakili wa Mbowe kuwa ya moto .
Kesi imeahirishwa kwa muda ili kuiruhusu Mahakama kupitia mapingamizi hayo na ufafanuzi wa mawakili wa serikali
View attachment 1922291
Ulisikia nini? Tunatofautiana elimu boss! Sisi wanasayansi tukizungumza ya kwetu huwa hupati hata kamusi ya kukusaidia.Kati ya vitu nimeshuhudia Leo kuwa Kuna watu wanaijua Sheria na wengine wanabebwa na katiba mbovu basi ni leo hii, maana sio kwa umombo ule uliojaa vocabulary za adabu za kisheria Hadi nikatamani kurudi shule loooh🙌🙌🙌🙌
Yeap! Ni hawa hawa walioshangilia kusikia Sabaya yuko mahabusu. Leo hii wanatuma maombi kwa Mungu Mbowe aachiwe. Tuwe na tabia ya kumuombea kila mtu, KILA MTU apate hukumu ya haki.Na kesi ya Sabaya inaendeleaje?
Aliyekuwa mbunge wa HAI Freeman mbowe yuko mahakamani Dar es salaam.
Na pia Aliyekuwa DC wa HAI yuko mahakamani Arusha.
Muda unaenda kasi Sana!
Mkuki kwa nguruwe ila kwa binadamu mchungu!
Mimi mwenyewe mtu science japo sio ile ya Greek words, Ila Leo ukweli nimeonja ladha ya utamu wa mabishano ya kisheria.Ulisikia nini? Tunatofautiana elimu boss! Sisi wanasayansi tukizungumza ya kwetu huwa hupati hata kamusi ya kukusaidia.
Naunga mkono hoja.Jamiiforums wajaribu kuwa na uzi mmoja kwa kubadilisha thread hii Kisutu: Maafisa wa EU, UN na Mabalozi wa Marekani, Sweden na Ujerumani wahudhuria Kesi ya Ugaidi inayomkabili Freeman Mbowe iwe sticky thread, inayoendelea na hii ni kesi ya kihistoria. Kama ni kuibadilisha heading isomeke : Kesi usajili Na.16/2021 ya Ugaidi dhidi ya Mbowe na wenzake 3
c.c Jamiiforums moderator, content manager jamiiforums
Fafanua mkuuNimekubali damu nzito,
Hiyo ni dhana tuu, kwa matendo ya kijamii, uhusiano na urafiki nakuhakikishia Mbowe ni mtu mzuri sana, labda mjombaa Mmachame wangu kwa pesa tuu. Mimi nampiga sana madongo lakini sasa imetosha.kila mtu atavuna alicho kipanda.
Mbowe anapitia wakati mgumu sana ktk maisha yake hivyo anapaswa ajitafakari sana Matendo yake aliyo yafanya dhidi ya binaadamu wenzake.
maana malipo ya uovu ni hapahapa duniani.
ni vyema muda huu akajisahihisha na Kumomba Mungu amsamehe juu matendo yake.
kwa macho ya kawaida ataona kama anapambana na sheria za nchi/utawala lkn kiuhalisia anapambana dhidi ya matendo yake maovu aliyo yatenda kwa siri.
kila binaadamu atapambana na uovu wake kwa style yake hapahapa Duniani.
Wewe unajua niniAcha ushamba, kujua umombo siyo kujua sheria
Wewe ni mpumbaf unajua Unyama kafanya huyu mshen###@Yeap! Ni hawa hawa walioshangilia kusikia Sabaya yuko mahabusu. Leo hii wanatuma maombi kwa Mungu Mbowe aachiwe. Tuwe na tabia ya kumuombea kila mtu, KILA MTU apate hukumu ya haki.
Hakika na iwe hivyo. Mungu hatamuacha Mtu yeyote amtegeneae.Mungu mbariki mbowe , mtetee, pia mtoe katika mikono ya watesi wake!
Daima uwe upande wake!