KalamuTena
JF-Expert Member
- Jul 7, 2018
- 13,187
- 17,167
Si ndio kujidhalilisha huko?Jaji hawezi kupokea maagizo kutoka juu?
Nawaza tu.
Nadhan bora wajiandalie upendeleo kutoka kwa Maulana!! Na sio busara kukanyaga hakiSi ndio kujidhalilisha huko?
Mtu kama anazo akili kichwani, na anaona wazi usanii unaofanyika, kwa nini mtu huyo ajivunjie heshima zake katika macho ya dunia kwenye kesi ya kipuuzi kama hii?
Jaji anayo nafasi nzuri ya kujijengea sifa kukataa upuuzi wa wazi kama huu.
Na kumbuka, enzi za upendeleo za Magufuli zimekwishapita. Hawa wengine sasa watakaofanya upuuzi wakitegemea upendeleo juu yao watakuwa wanajipaka kinyesi tu kwenda mbele!
Mawakili wa Jamhuri wametakiwa kuthibitisha Shitaka la Njama za kupanga ugaidi kuwa lazima kuwe na kikao ndio iitwe njama. Waliposhindwa kuthibitisha wakasema eti hata kuwa na mawazo yanayofanana ni kikao😅😅😅
Mbona umekaa kimipasho sana!!?ngoja wadhalilike kwanza
PCM vpHKL bwana!
Kama katumwa na Samia anafanyaje? Mtihani mkubwaSi ndio kujidhalilisha huko?
Mtu kama anazo akili kichwani, na anaona wazi usanii unaofanyika, kwa nini mtu huyo ajivunjie heshima zake katika macho ya dunia kwenye kesi ya kipuuzi kama hii?
Jaji anayo nafasi nzuri ya kujijengea sifa kukataa upuuzi wa wazi kama huu.
Na kumbuka, enzi za upendeleo za Magufuli zimekwishapita. Hawa wengine sasa watakaofanya upuuzi wakitegemea upendeleo juu yao watakuwa wanajipaka kinyesi tu kwenda mbele!
Jaji na yeye ni mtu mwenye kusoma na kuelewa alama za nyakati.
Tunaelekea kwenye nyakati tofauti kabisa na zile zilizopita.
Huu ndio uliberali wanapiganiaga chadema. Mhalifu aweze kuachiwa eti hati ya mashstaka imekosewa ambapo hata ikitokea imekosewa inabidi ijazwe tena mtuhumiwa akiwa ameshikiliwa. Kama sivyo chadema wanahangaika nini badala yakuacha kesi iendelee. Hakuna faida wanapata mbele ya mahakama inayotafuta haki na sio ushindi kwa wenye hila ya kuepa haki.Dar es Salaam.
Mahakama Kuu Divisheni ya Makosa ya Rushwa na Uhujumu Uchumi Jumatatu tarehe 6, Septemba 2021, inatarajiwa kutoa uamuzi wa pingamizi la mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe na wenzake watatu wanaokabiliwa na kesi ya uhujumu uchumi na Ugaidi.
Mbowe na wenzake wanapinga hati ya mashtaka yanayowakabili wakidai kuwa ina kasoro za kisheria na hivyo wanaiomba Mahakama hiyo iitupilie mbali
Katika pingamizi hilo pamoja na mambo mengine wakidai kuwa Sheria ya Ugaidi ambayo wanashtakiwa nayo haijafafanua viambato vya kosa la Ugaidi na kwamba upande wa mashtaka haujazingatia masharti ya lazima ya sheria hiyo ambayo ni kueleza kusudio la vitendo vya ugaidi ambavyo washtakiwa wanatuhumiwa kuvitenda
Hata hivyo mawakili wa Serikali wanaoongozwa na Wakili wa Serikali Mwandamizi Robert Kidando, wamepinga vikali pingamizi hilo wakidai kuwa hoja zao hazina mashiko.
Wamedai kuwa hati ya mashtaka iko sahihi na haina kasoro hizo zinazodaiwa na kwamba hati ya mashtaka imekidhi matakwa ya kisheria, ikiwa ni pamoja na kutoa taarifa ambazo zinawawezesha washtakiwa kufahamu makosa wanayoshtakiwa.
Hivyo, wameiomba mahakama ilitupilie mbali pingamizi hilo ili kesi hiyo iendelee kusikilizwa katika hatua ya awali.
Baada ya kusikiliza hoja za pande zote Jaji Ekinaza Luvanda amesema atatoa uamuzi wa pingamizi hilo la washtakiwa Jumatatu.
Serikali inawakilishwa na timu ya mawakili wa Serikali watano huku upande wa utetezi ukiwa na mawakili zaidi ya 14 wakiongozwa na Peter Kibatala.
Washtakiwa wa kwanza Halfan Bwire Hassan, wa pili Adamu Hassan Kasekwa, wa tatu Mohamed Abdillahi Ling'wenya na wa nne Freeman Aikael Mbowe.
Chanzo: Mwananchi
Kibwagizo kifupi. Hapa Mahakamani, mawakili wa serikali wanatumia lugha ya kiswahili kuwasilisha hoja zao. Mawakili wa Freeman Mbowe na wenzake (upande wa utetezi) wanatumia lugha rasmi ya mahakama (Kiingereza) kuwasiliana na Jaji na kuweka mezani hoja zao. It's what it's....
Hata asipotoka Leo au kesho. Ndiyo kusema Tozo zitaondolewa kwakuwa Taifa limenufaika kwenye kesi Ile??? Acheni kulitia nuksi Taifa.Mbowe hatoki
Huelewi mambo ya kisheria. Nenda kasome fate ya defective charge sheet/charge.....Huu ndio uliberali wanapiganiaga chadema. Mhalifu aweze kuachiwa eti hati ya mashstaka imekosewa ambapo hata ikitokea imekosewa inabidi ijazwe tena mtuhumiwa akiwa ameshikiliwa. Kama sivyo chadema wanahangaika nini badala yakuacha kesi iendelee. Hakuna faida wanapata kwa mbele ya mahakama inayotafuta haki na sio ushindi kwa wenye hila ya kuepa haki.
Kwani ni baba YAKO , mjomba, au baba YAKO mdogo ,asipo TOKA waumia nini, wewe mzee wa kubeti vipi that's , ccm mwaleta Mambo ya kubet kwenye taifaMbowe hatoki
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Usinitolee mimi hasira zako mkuu!Kwani ni baba YAKO , mjomba, au baba YAKO mdogo ,asipo TOKA waumia nini, wewe mzee wa kubeti vipi that's , ccm mwaleta Mambo ya kubet kwenye taifa
Kwani kisutu , lipi la muhim, si kesi imeharishwa au Sasa ,wataka nikuletee hasira TOKA wapi tena ,[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Usinitolee mimi hasira zako mkuu!
Hasira zako peleka pale kisutu
Wamekuwa Mungu kujua mawazo ya wanadamu wanawaza nini au ni watu wa rohoni sana hao mawakiliMawakili wa Jamhuri wametakiwa kuthibitisha Shitaka la Njama za kupanga ugaidi kuwa lazima kuwe na kikao ndio iitwe njama. Waliposhindwa kuthibitisha wakasema eti hata kuwa na mawazo yanayofanana ni kikao😅😅😅
AMENKama ni kweli usemavyo nasimama na Mh Mbowe Acha Mungu atende vile apendavyo kwani imeandikwa "Usimshuhudie Jirani yako Uongo"
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mkuu, kunywa maji mengi alafu utulie kidogoKwani kisutu , lipi la muhim, si kesi imeharishwa au Sasa ,wataka nikuletee hasira TOKA wapi tena ,
Sikia mtamuchia Mbowe mpende msipende hatupigi nyungu hapa ni shule tu ,huna shule wakaa pembeni, nyie ccm mmerogwa na na nani ? Mbona mwajitoa ufaham ,ccm sio tz ,nyie vipi
✌️Vyema formation .Mawakili wa serikali wapo watano leo na mpangilio wao wa ukaaji ni 3 mbele na 2 nyuma yao. Wakati mfumo wa ukaaji mawakili wanaomtetea Freeman Mbowe wao 4 mbele, 9 nyuma, nyuma yao tena wapo 4 na nyuma kabisa wapo 2 jumla ya Mawakili wa Freeman ni mawakili wasomi 19.. Tuendelee
Hamna na hamuwezi mshida mungu, mbona mnakua vizuwi, yani mmeshindwa yote ,mpaka mwasingizia UGAIDI mh mbowe ,mtakufa midomo ipo wazi ,asema bwana[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mkuu, kunywa maji mengi alafu utulie kidogo