Mahakama ya Uingereza yahukumu Assange anaweza kurejeshwa nchini Marekani

kuvujisha nyalaka

askali wa Uingereza

mda wote
nyaraka, sio nyalaka

muda, sio mda

askari, sio askali

Jifundishe kwanza kusoma na kuandika Kiswahili cha msingi kabla ya kutoa hoja zako JF.
 
Marekan hatetei haki za binadam dunian, hana ujinga huo! Kukiwa na chochote cha kufaidi katika nchi 'y', basi nchi hiyo itasingiziwa kwamba inakiuka haki za binadam
 
Walisikika wanaharakati tz "Marekani inajali uhuru wa kujieleza..........".
 
Hawa waingereza wanaagiza familia kutoa kubali cha kuua watoto wenye ulemavu na bado wanajinasibu wapigania haki za binadamu. Inashangaza kwa wale wanaowapelekea mashitaka ya haki za binadamu.

Jioneeni kadhaa yao

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…