Mahakama yaamuru Mwakinyo aitwe mahakamani kupitia gazeti la Mwananchi

1.Kaibiwa viatu airport.
2.Kauziwa viatu vinambana.
3.Kapangiwa pambano asilotambua undani wake.
4.Hababishwi na mapromota.
5.Hababaishwi na yeyote maana yeye ni Bora kuliko yeyote Tanzania.
6.Hakuna wa kumshauri maana ndondi alijifunza yeye binafsi na hakushauriwa na Mtu.

Kwa kauli hizo bado tunaona kuna mwanamichezo hapo?
 
Jamaa bonge la mjinga. Alafu hajijui kwamba yy ni mjinga na mpumbavu kwa wakati mmoja.
 
MWAKINYO BADO ATABAKI KUA BONDIA NAMBA MOJA TZ KAMA UKIWEKA CHUKI PEMBENI....
 
MWAKINYO BADO ATABAKI KUA BONDIA NAMBA MOJA TZ KAMA UKIWEKA CHUKI PEMBENI....
Huyu ni bondia mzuri kabisa na mimi nilikuwa shabiki wake.

Tatizo lilianza pale aliposahau viatu airport Uingereza na kuvaa viatu vya kubana. Baadae, kuna pambano alishinda kwa point bongo akasema sababu ni kuvaa bukta ya kubana, angevaa bukta nzuri angeshinda KO. Sasa unajiuliza, nani alimnunulia hiyo bukta. Maneno yake unaona yana ubabaishaji.

Mwakinyo atafute wataalamu wamuelimishe jinsi ya kuongea ili asionekane mbabaishaji, mwenye dharau na jeuri.

Haya, kwenye hili sakata la PAF Promotion, Mwakinyo alienda kwenye media kazungumza yake, PAF nao wakazungumza yao. Mwisho wa siku PAF wakaenda kushtaki bodi ya ngumi, na baadae mahakamani.

Sasa kwa nini Mwakinyo anakataa wito wa mahakama wakati mahakama ndiyo sehemu inayotafsiri sheria. Je, kukataa wito wa mahakama ndiyo suluhisho?
 
Lakini alishafungiwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…