Chanzo taarifa ya habari UTV/ TBC.
27/12/2022
Nimemsikia Mtendaji Mkuu wa Mahakama ya Tanzania akizindua matumizi ya akili bandia katika mahakama zetu nchini.
Alieleza kuwa Matumizi ya akili bandia yatarahisisha utoaji haki kwani sasa computer inaweza kurekodi kile kinacho tamkwa papo hapo na Jaji au hakimu na kisha kutafasariwa na kutolewa.
Naamini hatua hii inaenda kuleta mabadiliko makubwa sana katika kutoa haki za wananchi, inamaa sasa akili bandia inaweza kutafasiri hukumu au maamuzi yatakayo somwa/tamkwa kwa lugha yoyote ile kulingana na mahitaji ya mwananchi, safi sana!
Ina maana sasa akili bandia inaenda kuondoa tatizo la upungufu wa Majaji na Mahakimu, akili bandia inaenda kufanya kazi ambayo ingefanywa na Mahakimu 5 inafanywa na akili bandia moja 1.
Hakika hii ni hatua kubwa sana, pongezi kwa Mahakama kwa kutumia tehama kikamilifu katika kurahisisha haki za wananchi.
Ushauri;
matumizi hayo yaanze mara moja lakini pia matumizi hayo yatumike kwa mahakama zote sio za mijini tu.
27/12/2022
Nimemsikia Mtendaji Mkuu wa Mahakama ya Tanzania akizindua matumizi ya akili bandia katika mahakama zetu nchini.
Alieleza kuwa Matumizi ya akili bandia yatarahisisha utoaji haki kwani sasa computer inaweza kurekodi kile kinacho tamkwa papo hapo na Jaji au hakimu na kisha kutafasariwa na kutolewa.
Naamini hatua hii inaenda kuleta mabadiliko makubwa sana katika kutoa haki za wananchi, inamaa sasa akili bandia inaweza kutafasiri hukumu au maamuzi yatakayo somwa/tamkwa kwa lugha yoyote ile kulingana na mahitaji ya mwananchi, safi sana!
Ina maana sasa akili bandia inaenda kuondoa tatizo la upungufu wa Majaji na Mahakimu, akili bandia inaenda kufanya kazi ambayo ingefanywa na Mahakimu 5 inafanywa na akili bandia moja 1.
Hakika hii ni hatua kubwa sana, pongezi kwa Mahakama kwa kutumia tehama kikamilifu katika kurahisisha haki za wananchi.
Ushauri;
matumizi hayo yaanze mara moja lakini pia matumizi hayo yatumike kwa mahakama zote sio za mijini tu.