Mahakama yaanzisha matumizi ya akili bandia (Artificial Intelligence)

Mahakama yaanzisha matumizi ya akili bandia (Artificial Intelligence)

Mashine translation Kuna vitu ambavyo haiwezi kutafsiri vizuri mfano, mgaagaa anaupwa Hali wali mkavu, mchelea mwana kulia hulia yeye.
nani kakwambia haiwezi kutafasiri?
umeambiwa hiyo ni akili bandia na hivyo inauwezo wa kutafasiri kila kitu.
 
wacha kujipa wasiwasi teknolojia imesonga mbele sana, onaonekana wewe bado uko nyuma sana ya teknolojia.
 
Mahakamani Watu wanatamka Hadi vilugha, sijui itakuaje Apo[emoji848]
 
Mahakamani Watu wanatamka Hadi vilugha, sijui itakuaje Apo[emoji848]
 
Chanzo taarifa ya habari UTV/ TBC.
27/12/2022


Nimemsikia Mtendaji Mkuu wa Mahakama ya Tanzania akizindua matumizi ya akili bandia katika mahakama zetu nchini.

Alieleza kuwa Matumizi ya akili bandia yatarahisisha utoaji haki kwani sasa computer inaweza kurekodi kile kinacho tamkwa papo hapo na Jaji au hakimu na kisha kutafasariwa na kutolewa.

Naamini hatua hii inaenda kuleta mabadiliko makubwa sana katika kutoa haki za wananchi, inamaa sasa akili bandia inaweza kutafasiri hukumu au maamuzi yatakayo somwa/tamkwa kwa lugha yoyote ile kulingana na mahitaji ya mwananchi, safi sana!

Ina maana sasa akili bandia inaenda kuondoa tatizo la upungufu wa Majaji na Mahakimu, akili bandia inaenda kufanya kazi ambayo ingefanywa na Mahakimu 5 inafanywa na akili bandia moja 1.

Hakika hii ni hatua kubwa sana, pongezi kwa Mahakama kwa kutumia tehama kikamilifu katika kurahisisha haki za wananchi.

Ushauri;
matumizi hayo yaanze mara moja lakini pia matumizi hayo yatumike kwa mahakama zote sio za mijini tu.
tumeiga tokea nchi gani ???tuanzie hapo.
 
Halafu ameiita bandia, nilidhani neno bandia ni fake

AI Artificial Intelligence bora hata wangeiita Akili Ingine a.k.a AI ni rahisi kufanya rejea AI ya kingereza kwa AI ya kiswahili AKILI INGINE
 
Huyu mtendaji hana lolote anapenda publicity huyu ,boresha maisha ya watumishi na sio kuwapelekapeleka tu kma gari bovu kupata cheap publicity.
acheni majungu na fitina! hili ndilo tatizo kubwa mlilo nalo watumishi!!! manaendekeza sana kupigana majungu!!

kazi yenu ni kupigana majungu na kufitiniana, kazi kuangushana tu!!!
mkiona mtu anafanya vizuri mnampiga majungu na kufitini!!! mnatia kinyaa!!!

kamwe hamuwezi kuendelea kama mtaendekeza roho mbaya na tabia ya kupigana majungu.
 
Jiongeze mkuu ingia kwenye uwakili wa kijitegemea, jisomee ili u specialize hasa kwenye corporate sector, international laws, na mwisho kutegemea kuteuliwa kuwa judge kwa fadhilia za politician, jaribu ile moral yako iwe juu hata unapoomba kwenye imani yako unakua free
Sawa sawa
 
acheni majungu na fitina! hili ndilo tatizo kubwa mlilo nalo watumishi!!! manaendekeza sana kupigana majungu!!

kazi yenu ni kupigana majungu na kufitiniana, kazi kuangushana tu!!!
mkiona mtu anafanya vizuri mnampiga majungu na kufitini!!! mnatia kinyaa!!!

kamwe hamuwezi kuendelea kama mtaendekeza roho mbaya na tabia ya kupigana majungu.
Kakutuma?Mwambie aache kutafuta kiko kupata umaarufu kwa Rais ahhahahaa
 
Chanzo taarifa ya habari UTV/ TBC.
27/12/2022


Nimemsikia Mtendaji Mkuu wa Mahakama ya Tanzania akizindua matumizi ya akili bandia katika mahakama zetu nchini.

Alieleza kuwa Matumizi ya akili bandia yatarahisisha utoaji haki kwani sasa computer inaweza kurekodi kile kinacho tamkwa papo hapo na Jaji au hakimu na kisha kutafasariwa na kutolewa.

Naamini hatua hii inaenda kuleta mabadiliko makubwa sana katika kutoa haki za wananchi, inamaa sasa akili bandia inaweza kutafasiri hukumu au maamuzi yatakayo somwa/tamkwa kwa lugha yoyote ile kulingana na mahitaji ya mwananchi, safi sana!

Ina maana sasa akili bandia inaenda kuondoa tatizo la upungufu wa Majaji na Mahakimu, akili bandia inaenda kufanya kazi ambayo ingefanywa na Mahakimu 5 inafanywa na akili bandia moja 1.

Hakika hii ni hatua kubwa sana, pongezi kwa Mahakama kwa kutumia tehama kikamilifu katika kurahisisha haki za wananchi.

Ushauri;
matumizi hayo yaanze mara moja lakini pia matumizi hayo yatumike kwa mahakama zote sio za mijini tu.
Siyo matumizi ya akili bandia; ni matumizi ya vifaa vinavyotumia akili bandia
 
Back
Top Bottom