Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi ningewaambia siku wakimkamata Netanyau nae ndio atamsika Putin. As long as Netanyau is free then Putin must be free as well. No double standardNingekuwa ni rais wa Mongolia ningewaambia icc kuwa nishamkamata rais wa Urusi hivyo wake wamchukue halafu tuone Kama icc wangefika kuchukua.
Mbona ameendaPutin hawezi kwenda Mongolia, vipi South Africa alikwenda? Anaogopa kuyatimba.
JAmaa kashaenda huko fanya mpango ukamkamate.Nimekwambia hofu ndiyo haitampeleka.
Kwani nchi ikiwa landlocked ndiyo inakuwa mateka?
Hamna nchi inaweza kumkamata putin duniani!...Mwambie ajichanganye aone kivumbi
Nimekwambia hofu ndiyo haitampeleka.
Kwani nchi ikiwa landlocked ndiyo inakuwa mateka?
Bila shaka muda huu utakua umechimba shimo ukajifukia kabisa ili usisikie kabisa habari za Putin kua muda huu anajivinjari kwenye mitaa ya Ulaanbaatar Mongolia.Putin hawezi kwenda Mongolia, vipi South Africa alikwenda? Anaogopa kuyatimba.
Vipi matokeo?Mwambie ajichanganye aone kivumbi
Kuhusu ile smo ya siku 3 au wazungumzia nini shehk wangu???????Vipi matokeo?
Kuna wenzio waliropoka kama hivi na walishindwa kuleta ushahidi wa hayo maneno kutoka urusi wewe unaweza kujaribu?Kuhusu ile smo ya siku 3 au wazungumzia nini shehk wangu???????
Hahaha hahaha 😆 nataka nijue ile ni vita kamili au smo??Kuna wenzio waliropoka kama hivi na walishindwa kuleta ushahidi wa hayo maneno kutoka urusi wewe unaweza kujaribu?
Umemaliza kuleta ushahidi kwa yale ulio ropoka.Hahaha hahaha 😆 nataka nijue ile ni vita kamili au smo??
Putin hawezi kwenda nchi ndogo kwa kuzihurumia kua baada ya kwenda hazitaweza kumkamata na asipokamatwa nchi hizo zitatiwa misukosuko.Putin hawezi kwenda Mongolia, vipi South Africa alikwenda? Anaogopa kuyatimba.
Hali hiyo ya hewa inahusiana Nini na kutokamatwa kwa Putin?Mongolia ni Soviet Colony nothing new. hao jamaa hawana akili jiji lao ukifka km watu wanapika moshi wa kuni kumbe hewa chafu
Kichombezo tu nilitaka ujue kulivyo usichukulie km tuko darasaniHali hiyo ya hewa inahusiana Nini na kutokamatwa kwa Putin?
Hiyo hewa chafu inatokana na nini mkuu??Kichombezo tu nilitaka ujue kulivyo usichukulie km tuko darasani
Viwanda wana viwanda vingi vinatengeneza hewa ya ukaaa ikiwemo vingine vinatumia makaa ya mawe kutengeneza nishatiHiyo hewa chafu inatokana na nini mkuu??