K Kosugi JF-Expert Member Joined Sep 2, 2019 Posts 16,166 Reaction score 25,197 Sep 3, 2024 #41 MAJIYAPWANI said: Viwanda wana viwanda vingi vinatengeneza hewa ya ukaaa ikiwemo vingine vinatumia makaa ya mawe kutengeneza nishati Click to expand... Kwa kale kanchi kadogo si watumie nishati mbadala ya makaa ya mawe? Vipi kwenye ku grant visa hawana utata?
MAJIYAPWANI said: Viwanda wana viwanda vingi vinatengeneza hewa ya ukaaa ikiwemo vingine vinatumia makaa ya mawe kutengeneza nishati Click to expand... Kwa kale kanchi kadogo si watumie nishati mbadala ya makaa ya mawe? Vipi kwenye ku grant visa hawana utata?
C Corellos New Member Joined Dec 2, 2023 Posts 4 Reaction score 5 Sep 3, 2024 #42 Mshana Jr said: Ataenda na hawatamfanya kitu Click to expand... Na ameenda tayari.
Sir John Roberts JF-Expert Member Joined Mar 1, 2017 Posts 12,835 Reaction score 23,584 Sep 3, 2024 #43 Vipi ripoti zinasemaje nasikia amekamatwa. Tayari