Timu ya mawakili wa Lil Durk iliwasilisha ombi mahakamani, wakitaka rapa huyo apewe kifungo cha nyumbani. Timu hiyo ilitoa ofa ya dhamana yenye thamani ya $3.3 milioni (sawa na takriban Tsh bilioni 7.8), ambayo ilijumuisha:
Nyumba mbili za Lil Durk zilizopo Georgia zenye thamani ya $2.3 milioni (Tsh bilioni 5.4) pamoja na fedha taslimu $1 milioni (Tsh bilioni 2.3), ambazo zingetolewa na Sony Music.
Hata hivyo, licha ya ofa hiyo kubwa, jaji alikataa kumwachia kwa dhamana.
Lil Durk anakabiliwa na shtaka la mauaji ya kulipwa (murder for hire), akidaiwa kuwatuma washkaji wake watano kumuua binamu wa rapa Quando Rondo.
Tukio hilo linadaiwa kutokea mjini Los Angeles mwaka 2022.
Nyumba mbili za Lil Durk zilizopo Georgia zenye thamani ya $2.3 milioni (Tsh bilioni 5.4) pamoja na fedha taslimu $1 milioni (Tsh bilioni 2.3), ambazo zingetolewa na Sony Music.
Hata hivyo, licha ya ofa hiyo kubwa, jaji alikataa kumwachia kwa dhamana.
Lil Durk anakabiliwa na shtaka la mauaji ya kulipwa (murder for hire), akidaiwa kuwatuma washkaji wake watano kumuua binamu wa rapa Quando Rondo.
Tukio hilo linadaiwa kutokea mjini Los Angeles mwaka 2022.