Habari zilizonifikia punde tu zinadai Mahakama Kuu imelitia hatiani gazeti la Mwanahalisi kwa kumkashifu Bw.Rostam Aziz.
Mahakama inalitaka gazeti hilo limwombe radhi Rostam Aziz sambamba na kumlipa fidia ya shilingi za Kitanzania bilioni tatu.
Habari hizi bado hazijathibitishwa ingawa nimezipokea kutoka vyanzo vyangu vya kuaminika.
Wakuu hii nimeidakuwa kwa Mjengwa, kuna mwenye data zaidi?
Sorry wakuu kumbe ipo, tafadhali mod, ifuteni hii.. nimeshindwa kuifuta mwenyewe
Mahakama inalitaka gazeti hilo limwombe radhi Rostam Aziz sambamba na kumlipa fidia ya shilingi za Kitanzania bilioni tatu.
Habari hizi bado hazijathibitishwa ingawa nimezipokea kutoka vyanzo vyangu vya kuaminika.
Wakuu hii nimeidakuwa kwa Mjengwa, kuna mwenye data zaidi?
Sorry wakuu kumbe ipo, tafadhali mod, ifuteni hii.. nimeshindwa kuifuta mwenyewe
Last edited: