kaka hii habari sio mpya tena ilisharushwa toka jana angalia thread inayosema kubenea na mwanahalisi washindwa na rostamKama hii tarifa ni ya kweli nitarudia kuwakumbusha wana JF yale maelezo yangu niliyo andika hivi juzi ambayo ni kama ifuatavyo
8th May 2009, 01:49 AM
BABYLON
ROSTAM ni CCM na CCM ndio ROSTAM = ROSTAM ni SEREKALI na SEREKALI ndio ROSTAM ,
Palipo baki ni akili vichwani mwetu
Habari zilizonifikia punde tu zinadai Mahakama Kuu imelitia hatiani gazeti la Mwanahalisi kwa kumkashifu Bw.Rostam Aziz.
zaidi?
Sorry wakuu kumbe ipo, tafadhali mod, ifuteni hii.. nimeshindwa kuifuta mwenyewe
Sijawahi kusikia kesi ya defamation ikiendeshwa kwa kasi ya aina hii hapa nchini. What does it mean? Sasa mkitaka kujua nguvu ya ufisadi ndiyo hii. Na bado tutashuhudia mengi zaidi. Kama hatutaki kupambana mafisadi watatumaliza! Amkeni jamani.
Hivyo ndio kusema kwamba yule tunayemwamini kwamba ana inside information regarding Rostam na Richmond ameshindwa...
Je wale wenzangu na mie wa makelele pwapwapwapwa...
Kesi madai hakuna kufungwa. Ni kulipa kama huna unafilisiwa. Kubenea akiandika barua kwa msajili wa makampuni na kudai, Mwanahalisi imefilisika, kesi imeisha, kesho yake anasajili gazeti jipya la 'Mwanahalisia' kazi inaendelea.Maskini!!!huu ndio mwisho wa Kubenea. Kwahiyo akishindwa kulipa bil3 atafungwa?
Huyu s.o.b vipi? Moderator, humu ndani ktk JF tumeingiliwa na watu wanaovuta. Inafaa kuwafanyia vetting ya nguvu. Hukumu tarehe 29 Aprili, siku 12 zilizopita hakuna hata gazeti moja la Rostam lisitoe hizo habari?
Wana JF,kaka acha kuzusha hapa bwana,nani kasema kuwa kesi imesikiliwa haraka, kwanza ndio ufanisi tunaotaka hapa nchini mwetu
Wana JF,kaka acha kuzusha hapa bwana,nani kasema kuwa kesi imesikiliwa haraka, kwanza ndio ufanisi tunaotaka hapa nchini mwetu
Hii hukumu ni ya kweli: Kila jambo hufanywa kwa mikakati. Walipanga waitoea baada ya tamko la serikali na huo ni mwanzo wa safari ndefu ya kuisafisha Richmond.
Jamaa wa mikakati na uwezo. Wanakaa na kupanga hawakurupuki. Walimmudu hadi Mkapa akasalimu amri. Wana serikali kamili nje na ndani ya uwanja. Ni HATARI kuliko munavyodhania. Mtu mmoja alisema, "Wasidhani Lowassa kalala, ni sawa na simba aliyelala kina Kubenea wanamchezea sharubu."
Kama unaangalia kwa makini utaona kuna:
AMRI KUMI ZA KIONGOZI WA KAMBO (SURROGATE LEADER) ROSTAM AZIZ.
1-Alianza mwenyewe "Surrogate Leader" Rostam Aziz
2-Akaja Sophia Simba na Mkuchika
3-Akaja Prof. Lipumba
4-Akaja Hamad Rashidi kwa swali la kumtega Pinda lakini yeye akauma na kupuliza
5. Akaja Dk. Shein kwa hotuba ya JK ya Mei Mosi ambayo tafsiri yake walikuwa nayo Mtanzania pekee na haikukanushwa
6. Akaja mwenyewe RA akaenda PCCB kwa "matarumbeta"
7. Akatoa tamko DCI tena kupitia Tanzania Daima la Chadema
8. Akaja DPP Feleshi katika Daily News
9. Akaja Mkuchika akiwa Busanda akisema tamko kesho (muandaliwe)
10.Tamko lenyewe zito akasoma Naibu Waziri, Bendera, tamko ambalo lilitoa kifupisho cha mchezo mzima kuanzia namba 1 hadi 9
Baada ya hapo sasa ndio amri ya mahakama inakuwa ruksa kuwa public ili sasa ionekane WAONGO HAOOOO!!!!! Kama Zuma watapeta!!!!
Hili ni pigo kubwa sana kwa Kubenea na MwanaHALISI.
Japokuwa kesi haijaisha, ili kuweza ku appeal inabidi Kubenea aweke dau chini kwanza, hela aliyohukumiwa aje nayo mkononi ndio mahakama ianze kusikiliza shauri la rufaa.
Rostam Aziz anashutumiwa na kila mtu kwamba ni jizi la kumwagiwa diesel, lakini yeye ana ujasiri, Wamarekani wanasema ana kende, anatangulia yeye mahakamani kusema haya, onyesheni nilimwibia nani, lini, wapi.
Mwenye vigezo, aliyemuona akiiba, na aje mbele. The most formidable dirt-digging journalist in the country, Kubenea, so far kashindwa mahakamani.
Next?[/QUOTE]
TRUE???????????