Mahakama yamfutia Naibu Rais kesi ya Ufisadi wa Tsh. Bilioni 139

Mahakama yamfutia Naibu Rais kesi ya Ufisadi wa Tsh. Bilioni 139

BARD AI

JF-Expert Member
Joined
Jul 24, 2018
Posts
3,591
Reaction score
8,826
Mkurugenzi wa Mashtaka (DPP) ameruhusiwa kuondoa kesi ya Tsh. Bilioni 139.8 dhidi ya Richathi Gachagua huku Mahakama ikionya kuwa anaweza kukamatwa tena iwapo ushahidi utapatikana.

Ofisi ya DPP Noordin M. Haji ilituma maombi ya kufuta kesi hiyo kwa madai ya kufunguliwa kwa shinikizo la DCI Mstaafu George Kinoti pamoja na kukosa ushahidi kutoka kwa wapelelezi.

Hivi karibuni DPP amekuwa akipata ukosoaji mkubwa wa ofisi yake kuondoa kesi nyingi za Ufisadi dhidi ya watu mashuhuri wakiwemo Mawaziri.

=====================

A Kenyan court has allowed prosecution’s request to withdraw a 7.4bn shilling ($60m; £53m) corruption case against Deputy President Rigathi Gachagua and nine others. In a ruling, magistrate Victor Wakumile granted the application by the Director of Public Prosecutions (DPP) but warned the accused that they could be re-arrested should investigators find evidence incriminating them.

The DPP’s office had applied to drop the case citing lack of evidence, and blamed police investigators for not concluding investigations. The public prosecutor has recently come under criticism for withdrawing corruption cases against high-profile individuals, including cabinet ministers.

The deputy president had previously denied the charges levelled against him when he was an MP as having been politically motivated.

BBC
 
Mkurugenzi wa Mashtaka (DPP) ameruhusiwa kuondoa kesi ya Tsh. Bilioni 139.8 dhidi ya Richathi Gachagua huku Mahakama ikionya kuwa anaweza kukamatwa tena iwapo ushahidi utapatikana.

Ofisi ya DPP Noordin M. Haji ilituma maombi ya kufuta kesi hiyo kwa madai ya kufunguliwa kwa shinikizo la DCI Mstaafu George Kinoti pamoja na kukosa ushahidi kutoka kwa wapelelezi.

Hivi karibuni DPP amekuwa akipata ukosoaji mkubwa wa ofisi yake kuondoa kesi nyingi za Ufisadi dhidi ya watu mashuhuri wakiwemo Mawaziri.

=====================

A Kenyan court has allowed prosecution’s request to withdraw a 7.4bn shilling ($60m; £53m) corruption case against Deputy President Rigathi Gachagua and nine others. In a ruling, magistrate Victor Wakumile granted the application by the Director of Public Prosecutions (DPP) but warned the accused that they could be re-arrested should investigators find evidence incriminating them.

The DPP’s office had applied to drop the case citing lack of evidence, and blamed police investigators for not concluding investigations. The public prosecutor has recently come under criticism for withdrawing corruption cases against high-profile individuals, including cabinet ministers.

The deputy president had previously denied the charges levelled against him when he was an MP as having been politically motivated.

BBC
Jaji ashapewa chake akanunue apartments Dubai. Kibera endeleeni na Katiba mpya
 
Back
Top Bottom