Mahakama yampiga stop Joseph Selasini na wenzake. Mbatia anazidi kupeta

Mahakama yampiga stop Joseph Selasini na wenzake. Mbatia anazidi kupeta

Idugunde

JF-Expert Member
Joined
May 21, 2020
Posts
6,404
Reaction score
6,969
Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam leo Jumatano imewazuia Mjumbe wa Halmashauri Kuu NCCR Mageuzi, Joseph Selasini na wenzake kuratibu na kuitisha Mkutano au kikao chochote kitachohusu chama hicho.

Kama Mahakama haitaweka zuio la vikao kufanyika, hapatakuwa na maana ya maombi haya kuwepo mahakamani, hivyo mahakama inazuia wadaiwa wa kwanza mpaka tisa kutoratibu mkutano wowote mpaka maombi hayo yatakaposikilizwa" Jaji Kakolaki.

NCCR.jpg
 
Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam leo Jumatano imewazuia Mjumbe wa Halmashauri Kuu NCCR Mageuzi, Joseph Selasini na wenzake kuratibu na kuitisha Mkutano au kikao chochote kitachohusu chama hicho.

Kama Mahakama haitaweka zuio la vikao kufanyika, hapatakuwa na maana ya maombi haya kuwepo mahakamani, hivyo mahakama inazuia wadaiwa wa kwanza mpaka tisa kutoratibu mkutano wowote mpaka maombi hayo yatakaposikilizwa" Jaji Kakolaki.

View attachment 2348979
Wakati mwingine ni Sanaa TU,ingekuwa hayo ya metokea chadema Chama kubwa ungesikia vihoja na vituko kama vya COVID-19 🤸🤸🤸🤸🤸🤸🤸🤸🤸🤸🤸🤸🤸🤸🤸🤸🤸🤸🤸
 
Umri si umeshaenda ?, aandae maisha ya aendako. Masumbuko Lamwai, Safari , Buregu? Makani,? , Mrema,, Babu, Mtemvu, Kimaro, Hamadi....
Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam leo Jumatano imewazuia Mjumbe wa Halmashauri Kuu NCCR Mageuzi, Joseph Selasini na wenzake kuratibu na kuitisha Mkutano au kikao chochote kitachohusu chama hicho.

Kama Mahakama haitaweka zuio la vikao kufanyika, hapatakuwa na maana ya maombi haya kuwepo mahakamani, hivyo mahakama inazuia wadaiwa wa kwanza mpaka tisa kutoratibu mkutano wowote mpaka maombi hayo yatakaposikilizwa" Jaji Kakolaki.

View attachment 2348979
 
Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam leo Jumatano imewazuia Mjumbe wa Halmashauri Kuu NCCR Mageuzi, Joseph Selasini na wenzake kuratibu na kuitisha Mkutano au kikao chochote kitachohusu chama hicho.

Kama Mahakama haitaweka zuio la vikao kufanyika, hapatakuwa na maana ya maombi haya kuwepo mahakamani, hivyo mahakama inazuia wadaiwa wa kwanza mpaka tisa kutoratibu mkutano wowote mpaka maombi hayo yatakaposikilizwa" Jaji Kakolaki.

View attachment 2348979
Kwi Kwi Kwi
 
Back
Top Bottom