Mahakama yamrudisha Wambura TFF

Mahakama kuu yamlejesha Michael Richard wambula kwenye nafasi zake, yaani umakamu wa Rais pamoja na uenyekiti wa MKOA wa Mara, maana yake ni kuwa Nyamalani anapoteza sifa za kaimu makamu wa Rais wa TFF
 
Lakini Wenye Mamlaka Ya Kumrudisha Madarakani Wambura si ni CAS Pekee Na Sio Mahakama za Jamhuri ya Muungano wa Tz?
Nchi haitofungiwa kujihusisha na soka kwa mhimili wa dola kuingilia masuala ya mpira?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…