Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Mahakama kuu yamlejesha Michael Richard wambula kwenye nafasi zake, yaani umakamu wa Rais pamoja na uenyekiti wa MKOA wa Mara, maana yake ni kuwa Nyamalani anapoteza sifa za kaimu makamu wa Rais wa TFF