Mahakama yamwamuru Reginald Mengi afike kujieleza kwanini asifungwe kwa kupuuza hukumu ya Mahakama

Status
Not open for further replies.
Katika hati ya kiapo ya wafanyabiashara hao, inadaiwa walifungua kesi dhidi ya Mengi na Kampuni ya K.M. Prospecting Limited, wakidai malipo yaliyokuwa yamebakia ya dola 428,750, 100,000 na 70,000, kwa kila mmoja.
Hiki kiasi ni sahihi kweli?! Mbona hata serikali ya TZ haina?
 
Kuna tatizo kwenye hii hukumu au mimi sijaelewa?
-utamfungaje mtu kwenye Limited Company?
- Mengi alikuwa kama shareholder tu au alikuwa na cheo kwenye kampuni ya Douglas Lake Minerals Ltd?
 
Kesi ya madai tena ya kuungunga hafungwi.Je kufungwa ndio jibu?hata akifungwa wadai watapata nini? Sana sana utafilisi mradi unazungumziwa,settle this out of court vinginevyo itachukua muda mrefu bila malipo.
 
Kesi ya madai tena ya kuungunga hafungwi.Je kufungwa ndio jibu?hata akifungwa wadai watapata nini? Sana sana utafilisi mradi unazungumziwa,settle this out of court vinginevyo itachukua muda mrefu bila malipo.
Hivi kwenye limited kampuni utamfungaje mtu kama ni shareholder?
 
Yeye hataenda wala nini atamtuma wakili wake na kujitetea hajapata hukumu ya kesi hiyo.....na ukute kuna rufaa juu yake! Utashangaa!!
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…