MAHAKAMA YASHINDWA KUSOMA HUKUMU YA MASOGANGE
Hata hivyo, mdhamini wa Masogange ambaye hakutaja jina lake alisimama na kuiambia mahakama kuwa Masogange hakufika mahakamani kwa sababu anaumwa.
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imeshindwa kumsomea hukumu msanii Agnes Gerald maarufu kama Deal ama Masogange anayekabiliwa na kesi ya kutumia dawa za kulevya kwa sababu anaumwa, amewekewa dripu na hawezi kutembea.
Hukumu hiyo ilitarajiwa kutolewa na Hakimu Mkazi Mkuu, Wilbard Mashauri mara baada ya upande wa mashtaka ukiwakilishwa na Wakili wa Serikali, Costantine Kakula kuwaita mashahidi watatu kutoa ushahidi dhidi ya Masogange na kuufunga na mshtakiwa mwenyewe kujitetea.
Ilipofika saa 3:46 asubuhi leo Jumatano Machi 21, 2018 kesi hiyo iliitwa kwa Hakimu Mashauri na wakili wa Serikali, Adolf Mkini alieleza kuwa kesi ilipangwa kwa ajili ya hukumu ila mshtakiwa Masogange anayewakilishwa na wakili Ruben Simwanza hakuwapo.
Hata hivyo, mdhamini wa Masogange ambaye hakutaja jina lake alisimama na kuiambia mahakama kuwa Masogange hakufika mahakamani kwa sababu anaumwa na akawasilisha nakala za vyeti vya hospitali mahakamani hapo. Soma: Masogange asimulia kortini namna alivyodakwa na polisi (Masogange asimulia kortini namna alivyodakwa na polisi) Mdhamini huyo amedai kuwa Masogange amewekewa dripu na hawezi hata kutembea mwingine anayemtetea Masogange ni Nehemiah Nkoko.
Masogange wakati akijitetea katika kesi hiyo aliiomba mahakama imuachie huru kwa sababu hana kosa lolote. Masogange ambaye anakabiliwa na kesi ya kutumia dawa za kulevya aina ya Heroin na Oxazepam, katika utetezi wake amedai kuwa yeye hajawahi kutumia dawa za kulevya hata siku moja.
Akijitetea Masogange meidai kuwa mbali ya kuwa msanii pia alikuwa ni mfanyabiashara wa nguo. Masogange katika kesi hiyo anadaiwa kuwa kati ya Februari 7 na 14,2017 katika maeneo yasiyojulikana ndani ya jiji la Dar es Salaamalitumia dawa za kulevya aina ya Heroin (Diacety Imophine). Pia anadaiwa kuwa kati ya Februari 7 na 14, 2017 alitumia dawa zakulevya aina ya Oxazepam.
Mfululizo wa kukamatwa, kesi, hukumu na kuachiwa huru kwa Agnes Masogange kwenye kesi ya Madawa ya kulevya
Kupandishwa kizimbani na kusomewa shitaka
Yaliyojili wakati wa kesi ya Masogange
Hukumu
Hata hivyo, mdhamini wa Masogange ambaye hakutaja jina lake alisimama na kuiambia mahakama kuwa Masogange hakufika mahakamani kwa sababu anaumwa.
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imeshindwa kumsomea hukumu msanii Agnes Gerald maarufu kama Deal ama Masogange anayekabiliwa na kesi ya kutumia dawa za kulevya kwa sababu anaumwa, amewekewa dripu na hawezi kutembea.
Hukumu hiyo ilitarajiwa kutolewa na Hakimu Mkazi Mkuu, Wilbard Mashauri mara baada ya upande wa mashtaka ukiwakilishwa na Wakili wa Serikali, Costantine Kakula kuwaita mashahidi watatu kutoa ushahidi dhidi ya Masogange na kuufunga na mshtakiwa mwenyewe kujitetea.
Ilipofika saa 3:46 asubuhi leo Jumatano Machi 21, 2018 kesi hiyo iliitwa kwa Hakimu Mashauri na wakili wa Serikali, Adolf Mkini alieleza kuwa kesi ilipangwa kwa ajili ya hukumu ila mshtakiwa Masogange anayewakilishwa na wakili Ruben Simwanza hakuwapo.
Hata hivyo, mdhamini wa Masogange ambaye hakutaja jina lake alisimama na kuiambia mahakama kuwa Masogange hakufika mahakamani kwa sababu anaumwa na akawasilisha nakala za vyeti vya hospitali mahakamani hapo. Soma: Masogange asimulia kortini namna alivyodakwa na polisi (Masogange asimulia kortini namna alivyodakwa na polisi) Mdhamini huyo amedai kuwa Masogange amewekewa dripu na hawezi hata kutembea mwingine anayemtetea Masogange ni Nehemiah Nkoko.
Masogange wakati akijitetea katika kesi hiyo aliiomba mahakama imuachie huru kwa sababu hana kosa lolote. Masogange ambaye anakabiliwa na kesi ya kutumia dawa za kulevya aina ya Heroin na Oxazepam, katika utetezi wake amedai kuwa yeye hajawahi kutumia dawa za kulevya hata siku moja.
Akijitetea Masogange meidai kuwa mbali ya kuwa msanii pia alikuwa ni mfanyabiashara wa nguo. Masogange katika kesi hiyo anadaiwa kuwa kati ya Februari 7 na 14,2017 katika maeneo yasiyojulikana ndani ya jiji la Dar es Salaamalitumia dawa za kulevya aina ya Heroin (Diacety Imophine). Pia anadaiwa kuwa kati ya Februari 7 na 14, 2017 alitumia dawa zakulevya aina ya Oxazepam.
Mfululizo wa kukamatwa, kesi, hukumu na kuachiwa huru kwa Agnes Masogange kwenye kesi ya Madawa ya kulevya
- Masogange akamatwa kwa tuhuma za kuhusika na Dawa za Kulevya
- Mwakyembe: Awamu iliyopita aliyetuwezesha kukamata 99% ya madawa ya kulevya aliishia jela
- Jeshi la polisi Tanzania laamua kumfuata Agness Masogange Afrika Kusini...!!
- Polisi aeleza alivyohangaika na Masogange
- Kamanda Sirro: Mbowe jisalimishe Polisi; Masogange, Chid Mapenzi, Wallis Nasher tumewakuta na madawa
Kupandishwa kizimbani na kusomewa shitaka
Yaliyojili wakati wa kesi ya Masogange
- Mwakyembe aagiza wafanyakazi wa Uwanja wa Ndege wakamatwe!
- Masogange awataja wamiliki wa mzigo aliokamatwa nao SA
- Hatimaye Masogange amtaja aliye mtuma mzigo wa dawa za kulevya
- Kumekucha Madawa ya Kulevya: Kina 'Masogange' wawataja waliowatuma!
- Mahakama yashindwa kusoma kesi ya Masogange; adaiwa kuwa mgonjwa
- Kumekucha Madawa ya Kulevya: Kina 'Masogange' wawataja waliowatuma!
- Dawa za Kulevya: Wema adai Makonda anatembea na Agnes Masogange ndio maana hakamatwi
- Kesi ya Masogange yakwama kusikilizwa tena
- Kisutu: Korti yakataa vielelezo vya ushahidi kesi ya Wema Sepetu. Masogange akutwa na kesi ya kujibu
- Muendelezo Vita Dawa ya Kulevya: Masogange apelekwa kwa Mkemia Mk
- Mahakama yakubali kuutumia mkojo wa Masogange, yasema fomu za mkemia zilifata sheria
- Sampuli ya mkojo wa Agness Masogange wakutwa na Heroin
Hukumu