Mahakama yawafutia kesi moja viongozi wa Uamsho Zanzibar

Mahakama yawafutia kesi moja viongozi wa Uamsho Zanzibar

Waendelee kuchoma makanisa na kuuwa viongozi wa kikristu.
 
Swali la Kizushi: Hivi kweli uamsho wakijitoa muhanga wakienda mbinguni WANAPEWA MADEM 72 kwa ajili ya kufanya nao mambo fulani?. Kama ni kweli mbinguni basi patakuwa hapatoshi, Madem 72 unapiga mzigo mpaka unapungua weight
 
Oh yeah... naifanyia kazi haswa; hasa ukiangalia Wazanzibari wengi walivyo na ARDHI bara na wakati wabara haturuhusiwi kuwa na ARDHI Zanzibar;

ardhi wanazo uk seuze tangayika na pia fahamu hawakuzipata bure hizo
 
Swali la Kizushi: Hivi kweli uamsho wakijitoa muhanga wakienda mbinguni WANAPEWA MADEM 72 kwa ajili ya kufanya nao mambo fulani?. Kama ni kweli mbinguni basi patakuwa hapatoshi

hilo swali kawaulize wale walioamini mungu wao kateswa juu ya msalaba na binaadam aliewaumba yeye mwenyewe
 
[Hata kama source ni facebook lakini Hamed Mazrui ni Mwandishi,wa habari ambaye anazipata habari kutoka vyanzo vya KUAMINIKA.QUOTE=Malyenge;6046231]Source ya taarifa ni FACE BOOK?[/QUOTE]
 
MAHAKAMA ya Mwanakwerekwe, Zanzibar imefuta kesi iliyokuwa ikiwakabili viongozi kumi wa Jumuiya ya Uamsho, visiwani Zanzibar.

Mahakama hiyo, imefikia uwamuzi huo leo, wakati viongozi hao walipofikishwa Mahakamani hapo.

Hii ni kwa mujibu wa taarifa fupi niliyoibandua kutoka ukurasa wa ‘facebook’ iliyowekwa na Hamed Mazrui.

Kwa hivyo: Kutokana na hatua hio, viongozi hao sasa watakuwa wanakabiliwa na kesi inayoendelea katika mahakama kuu ya Vuga, mjini Zanzibar.

Mara ya mwisho viongozi hao wa Dini, walipofikishwa mahakama kuu, chini ya Jaji Fatma Hamid, kesi yao ilipangwa kusikilizwa tena Aprili 11, mwaka huu.

Jaji Fatma, aliuagiza upande wa mashtaka kupeleka mahakamani kwa maandishi, ombi la kuzuia kutolewa kwa dhamana kwa washtakiwa hao.

Jaji huyo aliongeza: Licha ya kwamba upande wa mashtaka umekata rufaa kuzuia kusikilizwa kwa ombi la dhamana, mahakama itaendelea kusikiliza kesi ya msingi pamoja na dhamana inayohusu viongozi hao.

Upande wa Mashtaka katika kesi hiyo unaongozwa Ramadhan Nassibu na Raya Msellem, huku upande wa utetezi unaongozwa na wakili, Salim Towfiq.

Nyie mbona mnatuchanganya, WA DINI au wa SIASA?

Wanayoshitakiwa kwayo yanahusiana na dini au siasa?
 
ardhi wanazo uk seuze tangayika na pia fahamu hawakuzipata bure hizo

Oh Yeah in UK lakini Umewasikia wakifurukuta furukuta HUKO? Wanafuata SHERIA na KATIBA za UK wapende wasipende; Wanasimama Majukwaani na kutukana serikali ya UK? La HASHA Wanainyenyekea...

Lakini Umewaona SAUD ARABIA wakimiliki ARDHI? HATA KIDOGO na hawataki kwenda HUKO...
 
Hii ni taarifa halisi, nimeiona katika gazeti la serikali, Daily News. Swala la DPP kutokuwasilisha vielelezo ndio limenifanya nitafakari kidogo, ila kwa sababu mimi sio Detective naona ninyamaze. Serikali kuwakamata watu, kisha kushindwa kuwasilisha vielelezo vya madai ni kujitukana yenyewe. Hivi hapa wananchi wakilalamikia serikali kushindwa kujisimamia watakuwa na kosa kweli? Serikali imeingia gharama kuwatunza hao jamaa, kuwalinda, kuwapandisha kizimbani, achilia mbali gharama za magazeti na vyombo vingine vya habari kuandika - gharama ambazo hulipwa na wananchi kwa kununua habari hizo, alafu eti DPP hajawasilisha vielelezo!!! Tukisema kashinikizwa asifanye hivyo tutakuwa tunakosea? Hawa jamaa hata dhamana walinyimwa kwa kuzingatia unyeti wa swala lenyewe, yaani kwa evidences zilizo waziwazi kabisa, alafu eti DPP kashindwa kuwasilisha vielelezo. Duh, tuna safari ndefu sana na usalama wa raia uko rehani
 
[h=1][/h]

uamsho.jpg

Baadhi ya viongozi wa uamsho wakipelekwa mahakamani.



Zanzibar. Mahakama ya Wilaya ya Mwanakwerekwe imeifuta kesi moja inayowakabili viongozi wa Jumuiya ya Uamsho na Mihadhara ya Kiislamu Zanzibar (Jumiki), kutokana na kuchukua muda mrefu bila ushahidi wake kukamilika.

Hakimu Ame Msaraka Pinja alisema jana kuwa, anaifuta kesi hiyo kwa kutumia kifungu cha 209 cha makosa ya jinai.

Washtakiwa wa kesi hiyo ambayo ilikuwa ni moja kati ya tatu zinazowakabili ikiwa kwenye Mahakama hiyo na nyingine Mahakama Kuu, walikuwa wanakabiliwa na kesi ya kuhatarisha amani kwa kutoa lugha kali.

Ilipotajwa mara ya mwisho, Machi 19 mwaka huu upande wa mashtaka ulidai kuwa, upelelezi haujakamilika na mawakili wa utetezi walimwomba hakimu kuifuta kwa vile washtakiwa wako ndani muda mrefu.

Wakili wa washtakiwa hao, Salum Toufik na Abdallah Juma walimwomba hakimu kutokana na taratibu za Mahakama hususan makosa ya jinai, kesi inapofikia miezi mitatu na kuendelea bila upelelezi kukamilika inapaswa kufutwa.

Upande wa mashtaka, ukiongozwa na Khamis Jafar waliomba Mahakama kuwapa muda zaidi kutokana na kuchukua kipindi kirefu bila upelelezi kukamilika.

Washtakiwa hao ni Masheikh Farid Hadi, Mselem Ali, Mussa Juma, Azza Khalid Hamdan, Suleiman Juma, Khamis Ali na Hassan Bakari. Washtakiwa hao bado wanakabiliwa na kesi iliyopo chini ya Hakimu wa Wilaya, Khamis Rashid na washtakiwa wanne wapo nje kwa dhamana, huku watatu wakiwa rumande kutokana na kukabiliwa na kesi nyingine Mahakama Kuu. Washtakiwa watatu ambao walikwenda katika kesi hiyo wakitokea rumande ni Masheikh Farid, Juma Suleiman na Mussa Juma.
 
Hii ni taarifa halisi, nimeiona katika gazeti la serikali, Daily News. Swala la DPP kutokuwasilisha vielelezo ndio limenifanya nitafakari kidogo, ila kwa sababu mimi sio Detective naona ninyamaze. Serikali kuwakamata watu, kisha kushindwa kuwasilisha vielelezo vya madai ni kujitukana yenyewe. Hivi hapa wananchi wakilalamikia serikali kushindwa kujisimamia watakuwa na kosa kweli? Serikali imeingia gharama kuwatunza hao jamaa, kuwalinda, kuwapandisha kizimbani, achilia mbali gharama za magazeti na vyombo vingine vya habari kuandika - gharama ambazo hulipwa na wananchi kwa kununua habari hizo, alafu eti DPP hajawasilisha vielelezo!!! Tukisema kashinikizwa asifanye hivyo tutakuwa tunakosea? Hawa jamaa hata dhamana walinyimwa kwa kuzingatia unyeti wa swala lenyewe, yaani kwa evidences zilizo waziwazi kabisa, alafu eti DPP kashindwa kuwasilisha vielelezo. Duh, tuna safari ndefu sana na usalama wa raia uko rehani

mkuu ni vema ukawa Dpp na jaji kabisa mambo yaende kama unavyotaka.
 
Back
Top Bottom