Mkikuyu- Akili timamu
JF-Expert Member
- Feb 16, 2018
- 4,310
- 7,465
Huyu mjinga anazeeka vibaya πππmko mbele kwa kutumia skype sio? π π π π π ! Ukunya bwaana!
#Akilizahandshake#
CC: Zigi Rizla Kafrican Depay Teargass Tony254 pingli-nywee komora096 Edward Wanjala
Ni hatari sana kwa Idara zozote za serikali kutumia skype au mitandao mingine isiyo milikiwa na serikali kufanyia shughuli za kiselikali.
Hii mitandao sio salama kabisa, msifurahie ujuha
imagine important matters kama ya central bank ama serikali kuongelewa via skype! Sisi tuna mpaka elctronical government payment system!Kuna watu hapa wanatia huruma, wanachanganya dhana za e-governance na open-governance, bila kuelewa associated cybersecurity and espionage risks.
Sent using Jamii Forums mobile app
LOL hii technology ipo kwenye almost kila office ya central government toka siku kibaoNimekuambia mara kadhaa huwa mpo nyuma yetu kwa kila hatua, hamuna ubavu wa kuendana na sisi kwa lolote, kila mnachokifanya sisi tulikua tumekifanya na kuanzisha, video yako hiyo inasema "mtaanza", sisi tulishaanza mahakama kadhaa kwetu sasa ikiwemo Malindi na kote zinatumia mfumo huu.
Tulianza hata kabla Corona haijanusia Kenya.
LOL hii technology ipo kwenye almost kila office ya central government toka siku kibao
Hii ni certain government office Dodoma
View attachment 1405004View attachment 1405005View attachment 1405006View attachment 1405007
LOL e government facilities zinampa mtu ambae yupo nje ya mfumo kushiriki kwa kutumia applications tofauti zinazohusiana na visual conferencing, Angalia hiyo miundombinu iliyofungwa kwenye hiyo office ya serikali na sio URL ya PC.Halafu mnadhihirisha ujinga, mnatusema kisa tunatumia Skype mahakamani ilhali nyie hapa kwa picha unatutambia government office Dodoma mnatumia Zoom, bora hata Skype inamilikiwa na Microsoft na imekua na seamless integration na bidhaa zote za Microsoft ambazo hutumiwa kila siku na kila taasisi, itawachukua muda sana kuelewa haya mavitu, I make a living off using these stuffs everyday.
Kuna watu hapa wanatia huruma, wanachanganya dhana za e-governance na open-governance, bila kuelewa associated cybersecurity and espionage risks.
Sent using Jamii Forums mobile app
Pwaaahahaha tuoneshe serikali kuu yenu ikitumia hizo facilities kwanzaWewe unatupia maneno unayojua maana yake kweli au unachangia ili uonekane na wewe upo.
Ulichoweka hapo kinahusiana vipi na mada husika.
Kwanza kabisa Skype inatumika pakubwa sana kwenye biashara na taasisi za kiserikali, cha msingi ni kuhakikisha mnatumia "Skype for business version".
Masuala ya e-government Kenya ilianza kitambo sana nakumbuka 2004 tulikua tumepiga hatua. Kwa kifupi hapa Afrika labda Afrika Kusini ndio wana hadhi ya kutusema likija suala la teknolojia hizi. Nyie ndio hata msisikike mkiongea chochote.
u have fiber optic cable yet none of ur courts r connected using skype in this World of cybercrime! Do u listen to urself how stupid do u sound? Fool as far as eGovernment is concerned, u r way behind!When these bozos were begging south africans to get a piece of the EASSy cable we were getting our own TEAMs cable and yet they have the guts to brag to Kenyans about video conferencing. The f*ck do they think we were doing when we decided to get our own cable?
MK254, why even bother, let the keyboard clown warriors dance in their own ignorance
When these bozos were begging south africans to get a piece of the EASSy cable we were getting our own TEAMs cable and yet they have the guts to brag to Kenyans about video conferencing. The f*ck do they think we were doing when we decided to get our own cable?
MK254, why even bother, let the keyboard clown warriors dance in their own ignorance
u have fiber optic cable yet none of ur courts r connected using skype in this World of cybercrime! Do u listen to urself how stupid do u sound? Fool as far as eGovernment is concerned, u r way behind!
Homeboy posted some very average news article but your insecurities couldn't let it ride so you got easily triggered and spewed all your guts out here.Its is your f*kin brother who started this.. bragging of Skype teleconferencing [emoji3][emoji3][emoji3]
Sent using Jamii Forums mobile app
Tz uses Cisco enterprise Video confrencing..Skype is a no no..You should be calling out Ke Judiciary for using such silly mass software for Governement JobWewe unatupia maneno unayojua maana yake kweli au unachangia ili uonekane na wewe upo.
Ulichoweka hapo kinahusiana vipi na mada husika.
Kwanza kabisa Skype inatumika pakubwa sana kwenye biashara na taasisi za kiserikali, cha msingi ni kuhakikisha mnatumia "Skype for business version".
Masuala ya e-government Kenya ilianza kitambo sana nakumbuka 2004 tulikua tumepiga hatua. Kwa kifupi hapa Afrika labda Afrika Kusini ndio wana hadhi ya kutusema likija suala la teknolojia hizi. Nyie ndio hata msisikike mkiongea chochote.
LOL e government facilities zinampa mtu ambae yupo nje ya mfumo kushiriki kwa kutumia applications tofauti zinazohusiana na visual conferencing, Angalia hiyo miundombinu iliyofungwa kwenye hiyo office ya serikali na sio URL ya PC.
Na isitoshe hapo kaungwa mpaka participant aliepo Europe pia ambapo na penyewe pako beyond our hardware e government systems.
Mkasaidiwa na Japan Kama kawaida πaisee kuna picha moja naitafuta kuna operation ilifanywa Mkapa ama Mloganzila ama Bugando hospital via very hight tech remote consultancy kutoka Japan!
ππUnchekesha wewe, sasa hapo kuna miundo mbinu gani zaidi ya screen iliyokua projected na laptops zote zimeungwa kwa mfumo wa Zoom.
ππ
Angalia hiyo setup chini ya hiyo screen kwenye office ya wizara Dodoma
Yaani bado nakuletea tu ushahidi kwamba haya mambo kwenye office nyingi za serikali ni a must infrastructure
Wewe vipi mbona ni maneno tu? ππππ