Mahakama za Kenya zatumia teknolojia ya Skype kuendesha mashtaka

Mahakama za Kenya zatumia teknolojia ya Skype kuendesha mashtaka

LOL hata dawa ya Corona kwa sasa ipo kwenye majaribio
Kuna Dr. moja amejaribu kuchanganya dawa za hydroxychloriquine na azithromycin na waathirika wengi wamekuwa wakipona. Pia nasikia China wamekuwa wakiwapa wagonjwa wao concentrated liquid zinc.
 
Kuna Dr. moja amejaribu kuchanganya dawa za hydroxychloriquine na azithromycin na waathirika wengi wamekuwa wakipona. Pia nasikia China wamekuwa wakiwapa wagonjwa wao concentrated liquid zinc.
China ilishapata dawa tayari, ona rate ya recovery ilivyokubwa kwao

Marekani yenyewe imeshajua kwamba China ina dawa ndio maana trump kajishusha na kufanya mawasiliano na China kuhusu Corona.
 
Nimekuambia mara kadhaa huwa mpo nyuma yetu kwa kila hatua, hamuna ubavu wa kuendana na sisi kwa lolote, kila mnachokifanya sisi tulikua tumekifanya na kuanzisha, video yako hiyo inasema "mtaanza", sisi tulishaanza mahakama kadhaa kwetu sasa ikiwemo Malindi na kote zinatumia mfumo huu.

Tulianza hata kabla Corona haijanusia Kenya.
Hawa wemeanza level seat jana imekua n kama
Ukomboz wa. Uhuru tz[emoji3][emoji3][emoji3]

Wakat Kenya now unalipa seat inakua n yako yote
Hata ukipenda unalala[emoji3][emoji3]

god is good
 
Eti Skype ndio ya kuringia hapa JF, tena utakuta ni Skype free version!, watu wengine wanatia huruma sana 🙂

Key words: SKYPE FREE VERSION.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1476].


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Back
Top Bottom