Mahakama za Kenya zatumia teknolojia ya Skype kuendesha mashtaka

LOL hata dawa ya Corona kwa sasa ipo kwenye majaribio
Kuna Dr. moja amejaribu kuchanganya dawa za hydroxychloriquine na azithromycin na waathirika wengi wamekuwa wakipona. Pia nasikia China wamekuwa wakiwapa wagonjwa wao concentrated liquid zinc.
 
Kuna Dr. moja amejaribu kuchanganya dawa za hydroxychloriquine na azithromycin na waathirika wengi wamekuwa wakipona. Pia nasikia China wamekuwa wakiwapa wagonjwa wao concentrated liquid zinc.
China ilishapata dawa tayari, ona rate ya recovery ilivyokubwa kwao

Marekani yenyewe imeshajua kwamba China ina dawa ndio maana trump kajishusha na kufanya mawasiliano na China kuhusu Corona.
 
Hawa wemeanza level seat jana imekua n kama
Ukomboz wa. Uhuru tz[emoji3][emoji3][emoji3]

Wakat Kenya now unalipa seat inakua n yako yote
Hata ukipenda unalala[emoji3][emoji3]

god is good
 
Eti Skype ndio ya kuringia hapa JF, tena utakuta ni Skype free version!, watu wengine wanatia huruma sana 🙂

Key words: SKYPE FREE VERSION.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1476].


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…