Gor
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 2,791
- 850
Leo ni siku ya sheria/mahakama, lakini kwa hakika huduma za mahakama zimekuwa ghali mno na kuna usanii mwingi tu. Naweza kukumbuka kesi moja ya Rage, huyu mbunge aliyekuwa katibu wa TFA.
Rage alifanya ufisadi kisha akafungwa na mahakama ya Kisutu baada ya kumaliza kifungu chake sb alikuwa ameshachora deal kwenye siasa eti akakata rufaa mahakama kuu then ikasema eti alifungwa kimakosa!
Sasa aliyetoa ushahidi uliomfunga anasema mpaka leo kuwa Rage alibadilisha risiti na kuongeza tarakimu, hii ndio Tanzania. Ipo siku upumbavu huu utakomeshwa hata kwa damu yangu.
Rage alifanya ufisadi kisha akafungwa na mahakama ya Kisutu baada ya kumaliza kifungu chake sb alikuwa ameshachora deal kwenye siasa eti akakata rufaa mahakama kuu then ikasema eti alifungwa kimakosa!
Sasa aliyetoa ushahidi uliomfunga anasema mpaka leo kuwa Rage alibadilisha risiti na kuongeza tarakimu, hii ndio Tanzania. Ipo siku upumbavu huu utakomeshwa hata kwa damu yangu.