buhange
JF-Expert Member
- Oct 23, 2011
- 505
- 110
HAbari wanajukwaa!
Nimefuatilia kwa karibu usomwaji wa kesi na maaamuzi ya mwisho katika kesi ya msingi iliyofunguliwa na Muungano wa vyama vya upinzani nchini Kenya NASA kupinga matokeo ya uchaguzi, na kugundua kwamba kuna haja wa mhimili wetu wa Mahakama nchini Tanzania kujifunza kitu kutokana na kilichofanywa na jopo la Majaji 7 kutengua uhalali wa matokeo ya uchaguzi ambayo yalimpatia nafasi tena ya kuongoza Rais Kenyata. Maamuzi ya Majaji wetu yazingatie uhalisia wa Mambo na weredi, wasifanye maamuzi kuridhisha Tabaka tawala.
Aksante.
Nimefuatilia kwa karibu usomwaji wa kesi na maaamuzi ya mwisho katika kesi ya msingi iliyofunguliwa na Muungano wa vyama vya upinzani nchini Kenya NASA kupinga matokeo ya uchaguzi, na kugundua kwamba kuna haja wa mhimili wetu wa Mahakama nchini Tanzania kujifunza kitu kutokana na kilichofanywa na jopo la Majaji 7 kutengua uhalali wa matokeo ya uchaguzi ambayo yalimpatia nafasi tena ya kuongoza Rais Kenyata. Maamuzi ya Majaji wetu yazingatie uhalisia wa Mambo na weredi, wasifanye maamuzi kuridhisha Tabaka tawala.
Aksante.