Mahakamani: Aliyemchoma mkewe kwa magunia mawili ya mkaa anatajwa kuwa mlemavu wa akili

Mahakamani: Aliyemchoma mkewe kwa magunia mawili ya mkaa anatajwa kuwa mlemavu wa akili

RIPOTI kutoka Hospitali ya Taifa ya Afya ya Akili, Mirembe imeeleza kuwa mfanyabiashara Khamis Luwonga (38) anayetuhumiwa kumuua mkewe Naomi Marijani na kumchoma moto kwa kutumia magunia mawili ya mkaa wakati anafanya tukio hilo la mauji alikuwa ana shida ya akili.

Taarifa hiyo, imetolewa leo na Wakili wa Serikali Mwandamizi, Mwasiti Athuman mbele ya Jaji Hamidu Mwanga wa Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam wakati kesi hiyo ilipoitwa kwa ajili ya usikilizwaji.

Wakili Athuman amedai kuwa katika kikao cha mwisho Mahakama ili ekelekeza mshtakiwa apelekwe kwenye Hospitali ya Afya ya akili kuangalia akili yake wakati anafanya tukio hilo alikuwa ana akili timamu au la.

Amedai ripoti ya kitababu ya hospitali hiyo ya Septemba 26, 2024 katika ukurasa wake watatu inaeleza kuwa baada ya mshtakiwa kufanyiwa uchunguzi wakitaalamu walioona anaugonjwa wa kifafa ambapo alipewa dawa.

Pia, amedai kuwa ilionekana mshtakiwa huyo wakati anafanya tukio hilo alikuwa ana shida ya akili, kutokana na ushahidi huo ni wa upande wa utetezi wapo tayari kuendelea na usikilizwaji na wana mashahidi wawili.

Katika kesi hiyo ya muaji namba nne ya mwaka 2019, mshitakiwa Luwonga ambaye ni Mkazi wa Kigamboni, Dar es Salaam anadaiwa Mei 15, 2019 akiwa Gezaulole eneo la Kigamboni alimuua Naomi Marijani.

Nipashe
Anyongwe kwanza labda akili itamkaa sawa!
 
RIPOTI kutoka Hospitali ya Taifa ya Afya ya Akili, Mirembe imeeleza kuwa mfanyabiashara Khamis Luwonga (38) anayetuhumiwa kumuua mkewe Naomi Marijani na kumchoma moto kwa kutumia magunia mawili ya mkaa wakati anafanya tukio hilo la mauji alikuwa ana shida ya akili.

Taarifa hiyo, imetolewa leo na Wakili wa Serikali Mwandamizi, Mwasiti Athuman mbele ya Jaji Hamidu Mwanga wa Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam wakati kesi hiyo ilipoitwa kwa ajili ya usikilizwaji.

Wakili Athuman amedai kuwa katika kikao cha mwisho Mahakama ili ekelekeza mshtakiwa apelekwe kwenye Hospitali ya Afya ya akili kuangalia akili yake wakati anafanya tukio hilo alikuwa ana akili timamu au la.

Amedai ripoti ya kitababu ya hospitali hiyo ya Septemba 26, 2024 katika ukurasa wake watatu inaeleza kuwa baada ya mshtakiwa kufanyiwa uchunguzi wakitaalamu walioona anaugonjwa wa kifafa ambapo alipewa dawa.

Pia, amedai kuwa ilionekana mshtakiwa huyo wakati anafanya tukio hilo alikuwa ana shida ya akili, kutokana na ushahidi huo ni wa upande wa utetezi wapo tayari kuendelea na usikilizwaji na wana mashahidi wawili.

Katika kesi hiyo ya muaji namba nne ya mwaka 2019, mshitakiwa Luwonga ambaye ni Mkazi wa Kigamboni, Dar es Salaam anadaiwa Mei 15, 2019 akiwa Gezaulole eneo la Kigamboni alimuua Naomi Marijani.

Nipashe
Wagonjwa wa akili ni wengi sana ata yule aliyechoma picha ya mhe. Rais ukimuona tu unajua anashida kichwani.
 
RIPOTI kutoka Hospitali ya Taifa ya Afya ya Akili, Mirembe imeeleza kuwa mfanyabiashara Khamis Luwonga (38) anayetuhumiwa kumuua mkewe Naomi Marijani na kumchoma moto kwa kutumia magunia mawili ya mkaa wakati anafanya tukio hilo la mauji alikuwa ana shida ya akili.

Taarifa hiyo, imetolewa leo na Wakili wa Serikali Mwandamizi, Mwasiti Athuman mbele ya Jaji Hamidu Mwanga wa Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam wakati kesi hiyo ilipoitwa kwa ajili ya usikilizwaji.

Wakili Athuman amedai kuwa katika kikao cha mwisho Mahakama ili ekelekeza mshtakiwa apelekwe kwenye Hospitali ya Afya ya akili kuangalia akili yake wakati anafanya tukio hilo alikuwa ana akili timamu au la.

Amedai ripoti ya kitababu ya hospitali hiyo ya Septemba 26, 2024 katika ukurasa wake watatu inaeleza kuwa baada ya mshtakiwa kufanyiwa uchunguzi wakitaalamu walioona anaugonjwa wa kifafa ambapo alipewa dawa.

Pia, amedai kuwa ilionekana mshtakiwa huyo wakati anafanya tukio hilo alikuwa ana shida ya akili, kutokana na ushahidi huo ni wa upande wa utetezi wapo tayari kuendelea na usikilizwaji na wana mashahidi wawili.

Katika kesi hiyo ya muaji namba nne ya mwaka 2019, mshitakiwa Luwonga ambaye ni Mkazi wa Kigamboni, Dar es Salaam anadaiwa Mei 15, 2019 akiwa Gezaulole eneo la Kigamboni alimuua Naomi Marijani.

Nipashe
Kwa ripoti hii ya kitabibu, Mtuhumiwa huyo Tayari yuko huru.
 
RIPOTI kutoka Hospitali ya Taifa ya Afya ya Akili, Mirembe imeeleza kuwa mfanyabiashara Khamis Luwonga (38) anayetuhumiwa kumuua mkewe Naomi Marijani na kumchoma moto kwa kutumia magunia mawili ya mkaa wakati anafanya tukio hilo la mauji alikuwa ana shida ya akili.

Taarifa hiyo, imetolewa leo na Wakili wa Serikali Mwandamizi, Mwasiti Athuman mbele ya Jaji Hamidu Mwanga wa Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam wakati kesi hiyo ilipoitwa kwa ajili ya usikilizwaji.

Wakili Athuman amedai kuwa katika kikao cha mwisho Mahakama ili ekelekeza mshtakiwa apelekwe kwenye Hospitali ya Afya ya akili kuangalia akili yake wakati anafanya tukio hilo alikuwa ana akili timamu au la.

Amedai ripoti ya kitababu ya hospitali hiyo ya Septemba 26, 2024 katika ukurasa wake watatu inaeleza kuwa baada ya mshtakiwa kufanyiwa uchunguzi wakitaalamu walioona anaugonjwa wa kifafa ambapo alipewa dawa.

Pia, amedai kuwa ilionekana mshtakiwa huyo wakati anafanya tukio hilo alikuwa ana shida ya akili, kutokana na ushahidi huo ni wa upande wa utetezi wapo tayari kuendelea na usikilizwaji na wana mashahidi wawili.

Katika kesi hiyo ya muaji namba nne ya mwaka 2019, mshitakiwa Luwonga ambaye ni Mkazi wa Kigamboni, Dar es Salaam anadaiwa Mei 15, 2019 akiwa Gezaulole eneo la Kigamboni alimuua Naomi Marijani.

Nipashe
skanka noma sana!!
 
RIPOTI kutoka Hospitali ya Taifa ya Afya ya Akili, Mirembe imeeleza kuwa mfanyabiashara Khamis Luwonga (38) anayetuhumiwa kumuua mkewe Naomi Marijani na kumchoma moto kwa kutumia magunia mawili ya mkaa wakati anafanya tukio hilo la mauji alikuwa ana shida ya akili.

Taarifa hiyo, imetolewa leo na Wakili wa Serikali Mwandamizi, Mwasiti Athuman mbele ya Jaji Hamidu Mwanga wa Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam wakati kesi hiyo ilipoitwa kwa ajili ya usikilizwaji.

Wakili Athuman amedai kuwa katika kikao cha mwisho Mahakama ili ekelekeza mshtakiwa apelekwe kwenye Hospitali ya Afya ya akili kuangalia akili yake wakati anafanya tukio hilo alikuwa ana akili timamu au la.

Amedai ripoti ya kitababu ya hospitali hiyo ya Septemba 26, 2024 katika ukurasa wake watatu inaeleza kuwa baada ya mshtakiwa kufanyiwa uchunguzi wakitaalamu walioona anaugonjwa wa kifafa ambapo alipewa dawa.

Pia, amedai kuwa ilionekana mshtakiwa huyo wakati anafanya tukio hilo alikuwa ana shida ya akili, kutokana na ushahidi huo ni wa upande wa utetezi wapo tayari kuendelea na usikilizwaji na wana mashahidi wawili.

Katika kesi hiyo ya muaji namba nne ya mwaka 2019, mshitakiwa Luwonga ambaye ni Mkazi wa Kigamboni, Dar es Salaam anadaiwa Mei 15, 2019 akiwa Gezaulole eneo la Kigamboni alimuua Naomi Marijani.

Nipashe
Ukiwa na kauwezo utawekewa njia ya lami upite, unaua, unanunua magunia ya mkaa kumchoma moto kisha unayafukia majivu na unapanda mgomba juu yake! Kwinini ni ngumu kumeza hata ukiichanganya na asali.
Ndugu wa marehemu tafuteni haki kupitia uchunguzi binafsi wa ziada.
 
Temporal insanity au permanently insane?, ila hata hao madokta wa Milembe waliompima, akija mtu akawapima, na wao watakuwa na matatizo ya akili. Mazingira hum-shape mtu.

Haya, na yule padri aliyeua mwanae Albino kule kagera mahakama imesema akapimwe akili.

Though that is just an expert opinion, not binding to the court. The court will have an opportunity to make an evaluation of its own.

Kazi ya defence ni kutoboa ushahidi wa upande wa mashitaka, and in criminal cases, proof is beyond reasonable doubt.
 
Inanikumbusha kesi maarufu ya miaka ya 80, ya Asha Mkwizu aliyemuua mke mwenza, wkt radio ni moja tu RTD na magazeti ni ya chama na serikali tu pamoja na la Mfanyakazi la Juwata tunapatia habari kule mikoani tulipokulia. Ilikuwa namna hii, naona pia ya padri kule Kagera nayo wanataka kuipeleka hukuhuku! Anyway pesa inaweza kuinfluence chochote kwenye any shithole country
 
Kabla ya ndoa tupimwe akili, ripoti za daktari zitumike kuweka pingamizi la ndoa iwapo mmoja dishi bovu......

Kama wote ni machizi, ndoa ifungwe tule pilau na minyama.

Vichaa ndoa.jpg
 
Back
Top Bottom